Nahitaji Msanifu majengo mwenye uwezo wa kufika site kwangu

Nahitaji Msanifu majengo mwenye uwezo wa kufika site kwangu

Paploman

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2019
Posts
1,759
Reaction score
3,452
Wakuu habari zenu.
Nahitaji ramani Kwa ajili ya Apartment za kupangisha.

But kabla ya kupewa ramani nahitaji mhusika afike site ili aone namna ya eneo lilivo.

Site ipo Kiabakari - Musoma, ni vema pia kama mhusika atakuwa mkazi wa maeneo hayo.

PM Iko wazi tufanye kazi Kwa Msanifu majengo anekaa maeneo haya
 
Boss mbona una konakona nyingi kama korido za ikulu....

Mara aweze kufika saiti mara awe mkazi wa karibu.
Hujaelewa Nini kaka, kuwa mkazi wa karibu(Musoma) Ina maana atakuwa na uwezo wa kufika site
 
Wakuu habari zenu.
Nahitaji ramani Kwa ajili ya Apartment za kupangisha.

But kabla ya kupewa ramani nahitaji mhusika afike site ili aone namna ya eneo lilivo.

Site ipo Kiabakari - Musoma, ni vema pia kama mhusika atakuwa mkazi wa maeneo hayo.

PM Iko wazi tufanye kazi Kwa Msanifu majengo anekaa maeneo haya
Mkuu umesha mpata msanifu Majengo kwajili ya site yako. Ikiwa Bado tafadhali nipigie kupitia 0621003092.
 
Back
Top Bottom