nahitaji msichana kwa ajili ya kazi stationery

nahitaji msichana kwa ajili ya kazi stationery

samoramsouth

Senior Member
Joined
Jan 16, 2011
Posts
192
Reaction score
30
Naomba yeyote mwenye kuhitaji nafasi hiyo FIND ME ON .
0714128855...... ni maeneo ya Bunju A. Ninategemea kufungua mwezi ujao. awe ana speed ya kuchapa kazi awe mwaminifu na awe anakaa maeneo ya Tegeta, au Bunju.
 
umempata mkuu tena maeneo ya huko huko bunju. nimewasiliana na mzazi wake atakupigia simu muta wowote kuanzia sasa.
 
Nashukuru kwa aliyenitress kwa mawasiliano. Ofisi nitafungua mwezi ujao, so subira yahitajika kwani nitawasiliana nawe one wk before kufungua ofisi ili nijue tunaaanza vip, ukiwa umequalify we can do business.

Nawasalimu
 
umempata mkuu tena maeneo ya huko huko bunju. nimewasiliana na mzazi wake atakupigia simu muta wowote kuanzia sasa.

kaka, nimefungua jana stationary, najaribu mpigia yule dada hapatikani kwenye namba yake. jaribu kumwambia anitafute leo kabla ya saa kumi na moja au kesho asubuhi. kwa sasa nipo hapa bunjuA USALAMA.
 
Back
Top Bottom