Nahitaji msichana wa kuoa niko serious

Nahitaji msichana wa kuoa niko serious

Nina miaka 28, dini muislamu, kazi yangu ni mwalimu, nahitaji msichana wa kuoa awe na vigezo vifuatavyo awe muislam, awe na elimu kidato cha nne awe mweupe, wa asili siyo wa mkorogo awe hajazaa, umri asizid miaka 27, sichagui kazi awe nayo au awe mama wa nyumbani sawa tu, kwa aliye tayari ani pm.
Wakipatikana wengi waambie na mimi natafuta.
 
Back
Top Bottom