Ukitaka kujua mbio za kinyonga washa moto karibu naye.Mmmh! ndg yangu mimi ni mtu wa amani sana, magomvi sipendi kabisa, sihitaji mtu mgomvi kwa asili.
Ubabe ktk lipi ndg? Bible ndiyo msingi wangu wa kila kitu, ulitaka nitumie nini?
Duh kwa vigezo hivyo nakushauri ukamtafute baaHabari zenu wapendwa. Naamini JF ni sehemu nzuri sana ya kufahamiana. Nimeshuhudia watu waliooana kipitia jf.Hivyo nami naamini nawezapata mke kupitia humu. Mimi nina 43yrs. nimejiajiri, mrefu (5.6), maji ya kunde, mbena, nimeokoka. Nina mtoto mmoja wa miaka 9. Nilitalikiana na mke miaka 6 iliyopita. Naishi Dar.
Nimtakaye: Awe ameokoka kwelikweli, urefu 4.10 hadi 5.0, mweupe wa asili si wa mchina, umbo la kati, awe tayari kumpokea binti yangu bila ubaguzi, asiwe na mtoto wala kutoa mimba, afahamu vizuri maana ya ndoa. awe tayari kupima UKIMWI. Umri kati ya miaka 20 hadi 28. elimu ya chini form four. Asiwe na kazi ya kuajiriwa. Wazazi au familia yake isiwe na imani za kienyeji yaani matambiko, masangoma, uchawi n.k.
Mwenye sifa hizo ani PM.
Amesema anataka kuoa msichana, nadhani anataka housegirl maana haoi mwanamkeAisee wewe mbinafsi,una mtoto halafu unabagua mwanamke aliye na mtoto mmh utakua na matatizo kibao ndio maana ndoa ya kwanza ikakushinda.
Amesema anataka kuoa msichana, nadhani anataka housegirl maana haoi mwanamke
njoo INBOX TULONGE MWAYA MBENA MWENZIO LABDA TUTAELEWANAHuo ni mtazamo wako. Kisheria anayepaswa kutoa huduma za mtoto ni baba. Na mimi sitimui mke labda ajitimue mwenyewe. Na kama nikifanya hivyo si qualify kuoa tena, maana nitakuwa na hatia. Biblia inasema yeye asiye amini akitaka kuondoka na aondoke, ndipo huyo ndg mme au mke yu huru. Huyu alijitimua nwenyewe kwa kudhani amepata sasa anajuta, mtoto alimwacha mwenyewe akiwa na 2 yrs. Sikubabaika, nimemlea mwenyewe kwa hadi sasa she is 8yrs karibia 9yrs.