Nahitaji msichana wa kuoa

Nahitaji msichana wa kuoa

Aah hii iligi niwaachie wengine ile nakufananisha na huyu mwalimu anaemlazimisha mwanafunzi
IMG-20170321-WA0002.jpg
all the best
Ubabe ktk lipi ndg? Bible ndiyo msingi wangu wa kila kitu, ulitaka nitumie nini?
 
Habari zenu wapendwa. Naamini JF ni sehemu nzuri sana ya kufahamiana. Nimeshuhudia watu waliooana kipitia jf.Hivyo nami naamini nawezapata mke kupitia humu. Mimi nina 43yrs. nimejiajiri, mrefu (5.6), maji ya kunde, mbena, nimeokoka. Nina mtoto mmoja wa miaka 9. Nilitalikiana na mke miaka 6 iliyopita. Naishi Dar.

Nimtakaye: Awe ameokoka kwelikweli, urefu 4.10 hadi 5.0, mweupe wa asili si wa mchina, umbo la kati, awe tayari kumpokea binti yangu bila ubaguzi, asiwe na mtoto wala kutoa mimba, afahamu vizuri maana ya ndoa. awe tayari kupima UKIMWI. Umri kati ya miaka 20 hadi 28. elimu ya chini form four. Asiwe na kazi ya kuajiriwa. Wazazi au familia yake isiwe na imani za kienyeji yaani matambiko, masangoma, uchawi n.k.

Mwenye sifa hizo ani PM.
Duh kwa vigezo hivyo nakushauri ukamtafute baa
 
Yaani we uwe na mtoto ila mwenzako hasiwe na mtoto!!! Mbona ubinafsi huo jamani!!!
 
Pole mkuu mleta mada, naona leo single father amekamatwa pabaya. Ni ngumu ww kuwa na mtoto halafu unataka asio na mtoto. Mara nyingi single father huwa anapata single mother then wanaongeza katoto kamoja wanalea watoto wao sasa mleta uzi wa tofauti yani yeye ana mtoto halafu anataka ambaye hana tena mwenye umri mdogo sasa cc wa 27-30 tuoe wa umri gani kama ww una 43 unataka wa 20-28 tena ambao hawana watoto
 
Hivi single mothers na single fathers si wale wale tabia zao zimefanana?
 
Mi mweupe wa kichina[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] bahati mbaya
 
Aisee wewe mbinafsi,una mtoto halafu unabagua mwanamke aliye na mtoto mmh utakua na matatizo kibao ndio maana ndoa ya kwanza ikakushinda.
Amesema anataka kuoa msichana, nadhani anataka housegirl maana haoi mwanamke
 
hapo kwenye ubaguzi inaonyesha una udhaifu na confidence huna... najua hapo kidogo uandike "awe bikra" ha!!!! ha!!!! ha!!!!
 
Huo ni mtazamo wako. Kisheria anayepaswa kutoa huduma za mtoto ni baba. Na mimi sitimui mke labda ajitimue mwenyewe. Na kama nikifanya hivyo si qualify kuoa tena, maana nitakuwa na hatia. Biblia inasema yeye asiye amini akitaka kuondoka na aondoke, ndipo huyo ndg mme au mke yu huru. Huyu alijitimua nwenyewe kwa kudhani amepata sasa anajuta, mtoto alimwacha mwenyewe akiwa na 2 yrs. Sikubabaika, nimemlea mwenyewe kwa hadi sasa she is 8yrs karibia 9yrs.
njoo INBOX TULONGE MWAYA MBENA MWENZIO LABDA TUTAELEWANA
 
Back
Top Bottom