mama mhaya
Member
- Mar 18, 2015
- 7
- 1
Habarini wapendwa,
Mimi ni mjasiliamali mpya kabisa na nataka kuanza na kuku wa kisasa wa mayai hivyo naomba mnisaidie yafuatayo,
Nataka kuanza na kuku 500(vifaranga) nahitaji mtaji kiasi gani mpaka watakapoanza kutaga? (Banda lipo)
Je kuna uwezekano wa mimi mwenyewe kutengeneza chakula chao?
Kwa hapa dar naweza kununua wapi vifaranga na wanapatikana kwa bei gani?
Nimepitia thread nyingi kwenye hili jukwaa kuhusu kuku na nikaoana tarifa mbalimbali ila naomba mnijibu nayo maswali yangu maana sijaona maelezo take popote
Cc muhinda
Mimi ni mjasiliamali mpya kabisa na nataka kuanza na kuku wa kisasa wa mayai hivyo naomba mnisaidie yafuatayo,
Nataka kuanza na kuku 500(vifaranga) nahitaji mtaji kiasi gani mpaka watakapoanza kutaga? (Banda lipo)
Je kuna uwezekano wa mimi mwenyewe kutengeneza chakula chao?
Kwa hapa dar naweza kununua wapi vifaranga na wanapatikana kwa bei gani?
Nimepitia thread nyingi kwenye hili jukwaa kuhusu kuku na nikaoana tarifa mbalimbali ila naomba mnijibu nayo maswali yangu maana sijaona maelezo take popote
Cc muhinda
Last edited by a moderator: