Bexb
JF-Expert Member
- Oct 24, 2016
- 715
- 1,619
Habari ya jioni wakuu.
Ninahitaji mtu/consultant mzoefu ama mtaalam wa kazi ya kuomba vibali vya mgani toka nje ya Tanzania kuishi nchini kwa njia ya mtandao.
Tayari maombi ya work permit yamefanyika na yamekubaliwa lakini tumekwama kwenye residential permit pekee.
Kama unaweza kutukwamua hapo na tukaipata kwa HARAKA tafadhali nicheki PM ama WhatsApp 0755963775
Shukrani.
Ninahitaji mtu/consultant mzoefu ama mtaalam wa kazi ya kuomba vibali vya mgani toka nje ya Tanzania kuishi nchini kwa njia ya mtandao.
Tayari maombi ya work permit yamefanyika na yamekubaliwa lakini tumekwama kwenye residential permit pekee.
Kama unaweza kutukwamua hapo na tukaipata kwa HARAKA tafadhali nicheki PM ama WhatsApp 0755963775
Shukrani.