Tarick majiji
New Member
- Nov 28, 2018
- 1
- 2
HABARI WANA JAMII??
Naitwa Tarick Majiji nipo morogoro kimasomo Nipo chuo nasoma Diploma ya Information and communication technology (ICT), Natafuta sapoti ya mtu ambaye atakuwa tayari kunishika mkono kibiashara Maana Nina BUSINESS PLAN yangu nimeiandaa baada ya kuona fursa katika biashara iyo.
Kikubwa Naomba MTAJI ambo ni Tsh.Mil10. kwa yeyote mwenye uwezo wa kunisaidia Anitumie Email ili niweze kumtumia Hiyo business plan yangu endapo kama aikiona inafaa basi anipe msaada huo naouhitaji.
Lakini pia napokea msaada wa maneno japo kuwa nahitaji pesa, ushauri ambao utaweza kunisaidia katika kufanikisha jambo langu Asante.
MAWASIANO YANGU Email: tarikrmajiji@gmail.coo
teywakushea@gmail.com
SIMU:0620170363
Naitwa Tarick Majiji nipo morogoro kimasomo Nipo chuo nasoma Diploma ya Information and communication technology (ICT), Natafuta sapoti ya mtu ambaye atakuwa tayari kunishika mkono kibiashara Maana Nina BUSINESS PLAN yangu nimeiandaa baada ya kuona fursa katika biashara iyo.
Kikubwa Naomba MTAJI ambo ni Tsh.Mil10. kwa yeyote mwenye uwezo wa kunisaidia Anitumie Email ili niweze kumtumia Hiyo business plan yangu endapo kama aikiona inafaa basi anipe msaada huo naouhitaji.
Lakini pia napokea msaada wa maneno japo kuwa nahitaji pesa, ushauri ambao utaweza kunisaidia katika kufanikisha jambo langu Asante.
MAWASIANO YANGU Email: tarikrmajiji@gmail.coo
teywakushea@gmail.com
SIMU:0620170363