Nahitaji mtoto, naomba msaada nifanikiwe!!!!

Nahitaji mtoto, naomba msaada nifanikiwe!!!!

Usiwasikilize wanaokushauri usaliti ndoa yako. Ni PM nitakupa msaada mimi mwenyewe nilitafuts for good 6 yrs. But God is great now i have my own children not a child.
huu sasa uchoyo.kwa nini usiweke wazi na wengine wafaidike?nina amini hili tatizo sio lake peke yake
 
huu sasa uchoyo.kwa nini usiweke wazi na wengine wafaidike?nina amini hili tatizo sio lake peke yake

sio uchoyo jamani na wewe kama una tatizo kama hili hujakatazwa kunipm, mbona wengi wameni PM hata ambao hawakuwa walengwa nimewasaidia? mambo mengine ni private ndio maana kukawa na access ya Private Message. karibu uni PM kama una tatizo.
 
Habari wakuuu!!!!

Mimi niko kwenye ndoa kwa miaka minne sasa. Kwa bahati mbaya bado hatujajaaliwa kupata mtoto. Hapo ndipo ninapoomba msaada wenu waungwana ili nami niingie kwenye ulimwengu wa kulea wana wangu mwenyewe.

Nilienda kufanya vipimo mimi na mwenzangu, wote tukaonekana tuko safi, vipimo hivi tulifanya hospitali mbili tofauti. Kama hiyo haitoshi, tulionana na Gyno mmoja pale Regency akapendekeza mwenzangu afanyiwe DnC, akasafishwa na kupewa dawa.

Tukapewa mbinu kadhaa ili tujaaliwe mtoto, ila hatukupata matokeo yoyote. Nikaamua kwenda kwa wasabato na tukafanyiwa vipimo wote. Mimi nikaambiwa mbegu zangu zimepungua spidi na mwenzangu njia yake haivuti mbegu ndani kutokana na yeye kuonekana kuwa na cist( wanasema viuvimbe vidogodogo kwenye mirija yake ya uzazi). Na dalili ya tatizo hilo tukaambiwa ni kupata maumivu kwenye chuchu wakati wa hedhi na upande wa kulia na kushoto chini ya kitovu. Maumivu hayo ni ya kweli kwakuwa mwenzangu amekuwa akilalamika mara kwa mara. Tukapewa dawa za kutumia, imepita miezi miwili sasa bila matokeo chanya.

Katika utafiti wangu, nimesoma soma kwenye mtandao na kuona kuwa mate yanaua mbegu za kiume. Mimi huwa natumia sana mate kama kilainishi tunapokutana faragha na mwenzangu. Je, hii pia inaweza kuwa ni sababu ya kutofanikiwa.

Naomba mnisadie waungwana.
Kula vyakukula vya Protein kwawingi, msifanye tendo la ndoa kwamuda wa siku 20 kabla ya ovulation nazaidi, then do it mtafanikiwa.
 
Kula vyakukula vya Protein kwawingi, msifanye tendo la ndoa kwamuda wa siku 20 kabla ya ovulation nazaidi, then do it mtafanikiwa.

Nakushukuru mkuu, sijapata njia sahihi haswa ya kubashiri hizo siku za urutubishwaji, bado natumia zile za kuhesabu siku na kuangalia jotoridi la mwili tu.
 
ndugu pole sana, matatizo ya uzazi yapo sana, unaweza angaika sasa lakini kuna wkt utafika utapata watoto tu. kama umri wenu haujaenda sana namaanisha kama mkeo hajakaribia menopause unaweza subiri. hizo cysts kwenye fellopian tube ni vigumu kuziondoa ila kuna dawa nje ya nchi zinapatikana kutibu ilo tatizo, atazitumia kwa mwaka mmoja na zinaweza leta matokeo. najua we mtu wa imani ila wengi huwa wana chagua kutafuta mtoto wa nje tena baada ya makubaliano na wake zao....na ndoa yao habaki paleapale.
 
Back
Top Bottom