Nahitaji mtoto

Afadhali umesema my sweet wangu...hapa nasikia tu nywele zinacheza cheza kila nikisoma maneno yako!
Baadaye nitakuletea askrimu..
Ngoja nianze kukufitinisha, duuuuuuh namuonea huruma Smile kuwa na mume mtata kama wewe.
 
Habari ya leo natumain muwazima wote.twende kwenye maada kwa yeyeto ambaye yupo tayari tupate mtoto kisha tuje kuoana mi nipo tayari kama nawe upo tayari tuwasiliane 0715005450.0784852291au joseph.eric86@yahoo.co.uk
jinsia gani sasa ya kike au ya kiume maana nasikia siku hizi hata mwanaume anabeba mimba ati.......!
 
Usimkatishe taamaa,,,hapa hapa atajipatia mtoto!!

tayari kasha kata tamaa yeyote atakayejitokeza yupo kwenye kilengeo iwe bibi aliyeachika na anawatoto sita n.k
 
Habari ya leo natumain muwazima wote.twende kwenye maada kwa yeyeto ambaye yupo tayari tupate mtoto kisha tuje kuoana mi nipo tayari kama nawe upo tayari tuwasiliane 0715005450.0784852291au joseph.eric86@yahoo.co.uk
Kama sikosei Wewe ndio uliambiwa mkeo afanyiwe operesheni ndio mpate mtoto?mbona unatangatanga?Shughulikia tatizo lililopo mbele na mtapata mtoto.Subira huvuta heri
 
Kama sikosei Wewe ndio uliambiwa mkeo afanyiwe operesheni ndio mpate mtoto?mbona unatangatanga?Shughulikia tatizo lililopo mbele na mtapata mtoto.Subira huvuta heri

jomse we mchina au maana nahamu ya kujifunza ngumi za kichina ili cameron akija niwe tayari kupambana kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…