Mrs Xavier
Member
- Mar 17, 2015
- 16
- 2
ahsanteni kwamawazo na ushaur
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekutana na gynecologist?
Pole sana, hiyo hedhi ya kuvuka miezi mitatu si kawaida pole sana. Usichoke kutafuta msaada labda utafanikiwa kumpata Dr ambaye anaweza kukusaidia tatizo lako nawe uje kuitwa mama.
Pole, kuna rafiki yangu Alikua na tatizo hilo amekwenda Apolo hospital India na amefanikiwa ana twins sasa... Usife moyo utafanikiwa...
jaman nisaidie kumuuliza alisaidiwaje kama naweza kuvipata huku kwetu nisaidie plz
nimeolewa ni mwaka na mwez mmoja sasa ila no mimba huwa hedhi yangu inavuka hata miez 3 nilishazunguka mahospital wakanipa vidonge vya majira haikusaidia nikaenda nyingine wakanipa clomid nimetumia miez 3 ila no mimba walisema eti hormone zangu zipo chini nisaidien jamani madoct nahitaj Mtoto nifanyeje
Hebu Mrs. Xevery utanisaidia kunikumbusha nikuambie dawa mbadala badala ya hizo za kizungu. kuna mahali nilisoma kuwa ukitumia hiyo dawa mimba mara moja! Ngoja nitafuta hilo tilio nikwambie. Pole mama usife moyo Mungu ni mkubwa!
jaman nisaidie kumuuliza alisaidiwaje kama naweza kuvipata huku kwetu nisaidie plz