Harris Khan
New Member
- Feb 29, 2020
- 1
- 2
Habari ndugu, natumai mnaendelea salama.
Samahani naomba yeyote ambae ni expert ama mtaalamu wa magari makubwa, anitxt kwenye namba 0674573783 whatsapp.
Nataka Awe anajua vifaa vyote na matumizi yake, tutazungumza bei kipindi atakachonifunza mpaka kuweza kuvimaster majina na kazii za vifaa vyote.
Ahsanteni.
Samahani naomba yeyote ambae ni expert ama mtaalamu wa magari makubwa, anitxt kwenye namba 0674573783 whatsapp.
Nataka Awe anajua vifaa vyote na matumizi yake, tutazungumza bei kipindi atakachonifunza mpaka kuweza kuvimaster majina na kazii za vifaa vyote.
Ahsanteni.