Ili aweze kunihudumia huduma ninazostahili as his partner,vijana me hapana kwakwel uongo mwingi iman kwao imekufa let me try huku kwngne nionee
Ahahahahahaha...Ni sawa! Lea mtoto Na rekebisha tabia, at 25 ushakuwa single Mother; badala utulie Na urekebishe Makosa unataka rafuta watu wazima! Kwani wewe mzima?
Unapatikana wapiHabarini wapendwa,kama kichwa kinavojieleza nahitaji mtu mzma wa kutulia nae nimechoka hekaheka za vijana na uwongo wao.
Mtu mzma ninaemuhitaji awe na umri kuanzia miaka 45 mpaka 60,dini yoyote,kabila lolote pia awe anajiweza kiuchumi.
Mimi ni single mama wa mtoto mmoja niko na 25 years dini ni mkristo pia ni mjasiriamali.
Note:Awe tayari kucheck afya pia nahitaji wa kutulia nae sio hit and run
Serious inbox me
Hahahah vijana NOUtapigwa za uso siku hizi wazee masela tu, bora utulie na sie vijana.
Wanasema usikatae wito kataa neno,nakuja.nna kitu cha kukushauri kama hutojali njoo pm ila sina nia tuwe wapenzi, ni ushauri tu.
25 mbona kawaida wapo under me na ni single mother wengne 15 na tayar n single momNi sawa! Lea mtoto Na rekebisha tabia, at 25 ushakuwa single Mother; badala utulie Na urekebishe Makosa unataka rafuta watu wazima! Kwani wewe mzima?
Hahahah vijana NO
25 mbona kawaida wapo under me na ni single mother wengne 15 na tayar n single mom
Unajitahidi but sorry nshaamua so nasimamia maamuz yanguKichaa akila uchafu sio sababu ya wewe kufanya hivyo
Unajitahidi but sorry nshaamua so nasimamia maamuz yangu
Ni fikra zako sikupingi maana nawe ndo uwezo wako wa kufikiri umefika hapo.Wewe mwenyewe hujatulia huyo mme wa kutulia nae unampataje? Ungekuwa umetulia ungekuwa ushaolewa na jilani yako. Lakini kwa kukuona ni kicheche na umezalishwa kupitia ukicheche wako ndiyo hivyo tena. Hata hivyo pole shemeji.
OK leta nyingine
Dada atakaekuja kwako labda hajapitia nyuzi zako ulizopost miaka ya nyuma nampa pole atakaejichanganya
Unapatikana wapi?OK leta nyingine
MwanzaUnapatikana wapi?
Another oneKaoa Mwingine Baada Ya Kumpa Mimba
Habari wana jf,mi nina shost yangu huyo shost alikua na jamaa yake ambaye wamedumu miaka 2 katika mahusiano yao jamaa alionesha kumpenda sana shost pia shost alimpenda sana jamaa na kila alichohitaji kwa jamaa jamaa alimpata,basi ikafikia kipind shost akawa anaenda kwa jamaa anakaa hata wiki...www.jamiiforums.com