Nahitaji mtu mzima nitulie nae

Utapigwa za uso siku hizi wazee masela tu, bora utulie na sie vijana.
Ili aweze kunihudumia huduma ninazostahili as his partner,vijana me hapana kwakwel uongo mwingi iman kwao imekufa let me try huku kwngne nionee
 
Unapatikana wapi
 
Ni sawa! Lea mtoto Na rekebisha tabia, at 25 ushakuwa single Mother; badala utulie Na urekebishe Makosa unataka rafuta watu wazima! Kwani wewe mzima?
25 mbona kawaida wapo under me na ni single mother wengne 15 na tayar n single mom
 
Wewe mwenyewe hujatulia huyo mme wa kutulia nae unampataje? Ungekuwa umetulia ungekuwa ushaolewa na jilani yako. Lakini kwa kukuona ni kicheche na umezalishwa kupitia ukicheche wako ndiyo hivyo tena. Hata hivyo pole shemeji.
Ni fikra zako sikupingi maana nawe ndo uwezo wako wa kufikiri umefika hapo.
 
Kwa taarifa tu ni kwamba hata hao unaowaona ni watu wazima wa kutulia siku hizi hawapo! [emoji2365][emoji2365][emoji2365]
 
 
Another one
 
Shida matatizo yako unageuza ya wengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…