Nahitaji mtu mzima nitulie nae

Nahitaji mtu mzima nitulie nae

Habarini wapendwa,kama kichwa kinavojieleza nahitaji mtu mzma wa kutulia nae nimechoka hekaheka za vijana na uwongo wao.
Mtu mzma ninaemuhitaji awe na umri kuanzia miaka 45 mpaka 60,dini yoyote,kabila lolote pia awe anajiweza kiuchumi.
Mimi ni single mama wa mtoto mmoja niko na 25 years dini ni mkristo pia ni mjasiriamali.
Note:Awe tayari kucheck afya pia nahitaji wa kutulia nae sio hit and run
Serious inbox me
Unapatikana wapi
 
Ni sawa! Lea mtoto Na rekebisha tabia, at 25 ushakuwa single Mother; badala utulie Na urekebishe Makosa unataka rafuta watu wazima! Kwani wewe mzima?
25 mbona kawaida wapo under me na ni single mother wengne 15 na tayar n single mom
 
Wewe mwenyewe hujatulia huyo mme wa kutulia nae unampataje? Ungekuwa umetulia ungekuwa ushaolewa na jilani yako. Lakini kwa kukuona ni kicheche na umezalishwa kupitia ukicheche wako ndiyo hivyo tena. Hata hivyo pole shemeji.
Ni fikra zako sikupingi maana nawe ndo uwezo wako wa kufikiri umefika hapo.
 
Kwa taarifa tu ni kwamba hata hao unaowaona ni watu wazima wa kutulia siku hizi hawapo! [emoji2365][emoji2365][emoji2365]
 
 
Another one
 
Shida matatizo yako unageuza ya wengine
 
Back
Top Bottom