Illuminata Rodgers
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 2,845
- 2,024
- Thread starter
-
- #161
Kijana gan tena mkuu?Wewe kuwa mtu mzima ili usimsumbue babu wa watu bureee ukianza kuwashwa washwa na mdudu nyege. Ni muhimu kusameheana na huyo kijana maisha yaendelee
Kwenye kutulia sasa na hii dec
We umechagua kipi ?Walio ndani ya ndoa wanatamani kutoka na walio nje ya ndo wanatamani kuingia
NdaniWe umechagua kipi ?
Anataka kwenda kulea kibabu.Miak 25 unataka mzee wa miaka 60. Unasema eti vijana waongo. Huenda ww ndio una shida. Vijana wanaojitambua wapo tena ni wengi.
Hahahahhhhaha kurudi kwa vijana kufanyaje na me nimeamuaAnataka kwenda kulea kibabu.
Atarudi tu kwa vijana huyu bado moto unawaka
Eti salome [emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa nyuzi zote za huyu dada nilizopitia nahisi namjua ni dada mmoja anaependa mafanikio bila kufanya kazi nilishawahi kubadilishana nae mawazo na kumshauri Sana ila hakuwahi niambia kama anamtoto ila location anazotaja nahisi namjua
Salome popote ulipo kama ni wewe nakushauri acha hizo mbishe kwanza ni mdada furani mjuaji mwenye sauti ya ukali na nilimwambia hicho sikumficha kama ndo wewe ndugu ushauri wangu ni uleule pambana dada hela yako tamu kuliko ya mtu
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwenye kutulia sasa na hii dec
ππππHaijalishi, lakini Mzee mwenye miaka 45 technically anaweza kukuzaa wewe. Unless uwe umedanganya umri wako.
Unaposema vijana ni hit & run Hilo lipo kila sehemu hata kwa wazee. Kuna wazee wengi tu hawapati haki za ndoa nyumbani sababu wake zao wamezeeka na wamekuwa wasumbufu. Nao wapo mawindoni wanatafuta pa kumpunguzia semen. Na hawataki kuvunja ndoa zao. Be careful
Na ndio maana baadhi ya wachangiaji wamekutahadharisha kuwa wewe ndio una tatizo, you need to do something on yourself for yourself by yourself. Ndipo mwanaume yeyote ataona value ndani yako, na atakupenda.
Kumbuka: mwanaume ana machaguzi hata 200 ya mwanamke amtakaye, je mwenendo wako, tabia zako, Vaa yako, ongea yako zinaweza kuku support mbele ya mtu anayetafuta mke?
Je nikitia timu yangu ya upelelezi mtaani kwako, jamii inayokuzunguka inasemaje kuhusu wewe?
[emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe una shida gan kwan??Kwa nyuzi zote za huyu dada nilizopitia nahisi namjua ni dada mmoja anaependa mafanikio bila kufanya kazi nilishawahi kubadilishana nae mawazo na kumshauri Sana ila hakuwahi niambia kama anamtoto ila location anazotaja nahisi namjua
Salome popote ulipo kama ni wewe nakushauri acha hizo mbishe kwanza ni mdada furani mjuaji mwenye sauti ya ukali na nilimwambia hicho sikumficha kama ndo wewe ndugu ushauri wangu ni uleule pambana dada hela yako tamu kuliko ya mtu
Usisahau pia kuna wa eat and run! Hivyo ujitahidi tu kuvumilia maumivu. Maana maji umesha yavulia nguo! Hivyo huna namna.Noo,sio kukubali but nimesema hivo ili mtu anielewe kuwa sitaki hit and run nataka wa kuwa nae siku zote