upo mkoa gan mkuuHabari ya weekend wana jf
Mimi ni mfanyabiashara wa,duka la vyakula na mahitaji mengine muhimu ya kila siku na tangu nianze biashara hii ni zaidi ya mwaka sasa na mwelekeo wa kibiashara ni mzuri, hivyo nimeona nianzishe biashara ya kuuza nafaka kwa jumla na rejareja hasa ukizingatia eneo nilipo lina uhitaji mkubwa wa bidhaa za nafaka.
Hivyo nahitaji mfanyabiashara anayeweza kuniletea nafaka kati ya hizi Mchele, Maharage ya njano na Soya, njegere, uwele, karanga, choroko, na karanga, ila mchele ndio kipaumbele cha kwanza.
Kwa atakaye kuwa tayari anaweza kuwasiliana nami kwa namba 0656077998.
mkuu dsm sehem gan mm nipo mbeya ndyo biashara yangu hyo naingia shamba mm mwenyeweNapatikana DSM
Mimi nipo mwanza ndo biashara yangu hizo tani ninazo tena na zaidi ila unapendelea supa au wa kawaodaHabari ya weekend wana jf
Mimi ni mfanyabiashara wa duka la vyakula na mahitaji mengine muhimu ya kila siku na tangu nianze biashara hii ni zaidi ya mwaka sasa na mwelekeo wa kibiashara ni mzuri, hivyo nimeona nianzishe biashara ya kuuza nafaka kwa jumla na rejareja hasa ukizingatia eneo nilipo lina uhitaji mkubwa wa bidhaa za nafaka.
Hivyo nahitaji mfanyabiashara anayeweza kuniletea nafaka kati ya hizi Mchele, Maharage ya njano na Soya, njegere, uwele, karanga, choroko, na karanga, ila mchele ndio kipaumbele cha kwanza.
Kwa atakaye kuwa tayari anaweza kuwasiliana nami kwa namba 0656077998.
Unapatikana wapiHabari ya weekend wana jf
Mimi ni mfanyabiashara wa duka la vyakula na mahitaji mengine muhimu ya kila siku na tangu nianze biashara hii ni zaidi ya mwaka sasa na mwelekeo wa kibiashara ni mzuri, hivyo nimeona nianzishe biashara ya kuuza nafaka kwa jumla na rejareja hasa ukizingatia eneo nilipo lina uhitaji mkubwa wa bidhaa za nafaka.
Hivyo nahitaji mfanyabiashara anayeweza kuniletea nafaka kati ya hizi Mchele, Maharage ya njano na Soya, njegere, uwele, karanga, choroko, na karanga, ila mchele ndio kipaumbele cha kwanza.
Kwa atakaye kuwa tayari anaweza kuwasiliana nami kwa namba 0656077998.
Naona umeshaingia kwenye mtegoMimi nipo mwanza ndo biashara yangu hizo tani ninazo tena na zaidi ila unapendelea supa au wa kawaoda
Naona umeshaingia kwenye mtego