nahitaji mtu wa kushare katka organization yetu

nahitaji mtu wa kushare katka organization yetu

Ludger

Member
Joined
Dec 7, 2012
Posts
24
Reaction score
4
hi nimeanza mchakato wa kuisajili org yetu. nahitaji mtu mwenye malengo kwa ajili ya kufikia malengo yetu. wasiliana kwa 0715 545485, au ludgermkemwa gmail.com
 
Last edited by a moderator:
Organization yako Ina malengo yapi?mission na vision za NGO yako na vitu Kama hivyo,hiyo e-mail address sioni kama ni valid
 
Sasa mi hayo malengo yenu ntayajuaje ili niwe na malengo ya kuyafikia? Funguka
 
Ingekuwa vizuri ungeyasema hayo malengo ili nijue kama naweza au siwezi kuyafikia.
 
Yani sijui lini watu watakuwa serious. Kwanini usiweke details zote ili anayeona org yako inamfaa akutafute ?Its just a disgrace no wonder watu wanaona watanzania hawako serious kwa sababu za upuuzi kama huu. Unahitaji uende darasani ili ufundishwe kuweka full details?
 
Sasa unasajilije org yako) wakati bado unatafuta wa kushare naye? Halafu mbona hujaweka taarifa muhm mfano nini lengo la ushirika wako nk!
 
Mimi kama mimi nikikuita wewe tapeli sijakosea, kwa mtu anaejua anachokifanya na anachokihitaji hawez leta thread nyeupe ambayo haijakamilika. Rudi kajipange wadau wapo kibao tu ni ww mwenyew.

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
Leta details ambazo zimekamilika onyesha vision,Mission za organization yako na itakuwa ina operate maeneo gani watu gani ambao umelenga kufanya nao kazi
 
unahitaji mtu mwenye malengo, ili kufikia malengo yako!!!!!!!! sijaelewa na wala sitaki kuelewa maana hii haijawahi tokea duniani .
 
hi nimeanza mchakato wa kuisajili org yetu. nahitaji mtu mwenye malengo kwa ajili ya kufikia malengo yetu. wasiliana kwa 0715 545485, au ludgermkemwa gmail.com

Bila kuweka wazi malengo yenu kama organisation, mtu hawezi kujua kama naye ana malengo yanayofanana na organisation yenu.
Weka wazi malengo yenu.
 
Hapa jf 75%ya members ni wale wavivu wa kufikiri,wanakaaa hapa kupinga porojo,kutukana,kukejeri,kuponda topic za watu badala ya kuwasahihisha!!shooot!!
 
Hapa jf 75%ya members ni wale wavivu wa kufikiri,wanakaaa hapa kupinga porojo,kutukana,kukejeri,kuponda topic za watu badala ya kuwasahihisha!!shooot!!

Mkuu umeipataje hiyo 75%. Tusaidie kujua
 
Hapa jf 75%ya members ni wale wavivu wa kufikiri,wanakaaa hapa kupinga porojo,kutukana,kukejeri,kuponda topic za watu badala ya kuwasahihisha!!shooot!!

Hakika wewe utakuwa mmoja wao. Ungekuwa unafikiri vizuri ungekuja na data jinsi ambavyo umekokotoa na kupata hiyo 75% siyo unaibuka tu na uvivu wako wa kufikiri na kuja na asilimia ambazo huna vigezo nazo.
 
Hapa jf 75%ya members ni wale wavivu wa kufikiri,wanakaaa hapa kupinga porojo,kutukana,kukejeri,kuponda topic za watu badala ya kuwasahihisha!!shooot!!

Wewe na huyo aliyeweka hii thread ni kitu kimoja,mmeamkia ulanzi asubuhi.
Kajifunze kwanza kuandika then urudi tena.
 
Back
Top Bottom