HV MMETEMBEA AU MNAKISIA TUUNi kweli mkuu,kilimo ni mtaji na kuwekeza kwenye kilimo cha kutegemea mvua ni probability;na pia mwamko wa watu kuwekeza kusini ni mdogo.
Kuna lami,lipo barabarani,nauli from bora ni elf2 tuu HILI HALiwezi kunifia mkuuFursa zipo inategemea na eneo pamoja na soko la kulihudumia;biashara ambayo iko nzuri kwenye kilimo ni kwa yale mazao ambayo ni ya muda mfupi,wewe unakuwa unalima tofauti na msimu kwa kutegemea umwagiliaji.Mfano shamba lako lingekuwa kwenye mji wowote mkubwa,ungeliweza kuchimba kisima na kuyavuta hayo maji juu yaende kwenye matanki na baadaye yaende kwenye umwagiliaji wa matone;lakini kwa huko lilipo litakupa hasara.naongea kwa uzoefu kwa sababu kuna la kwangu nimelitelekeza mkoa fulani baada ya kupiga hesabu za uzalishaji na masoko nikaona litanipa hasara.
Lingekuwa lipo mikoa ya kaskazini,tungejadili zaidi.Kwa sababu ili likulipe vizuri inabidi liwe na uhakika wa maji na ulime mazao ya muda mfupi pamoja na ufugaji.Kuna lami,lipo barabarani,nauli from bora ni elf2 tuu HILI HALiwezi kunifia mkuu
Mji ndio unakuwa my b kujui CHIWANDA
HUKU SIO MBALI MY B USEME NI MBALI NA DAR