Nahitaji Mtu wa marketing wa kufanya naye kazi

Nahitaji Mtu wa marketing wa kufanya naye kazi

Marketing ni pana sana. Lazima mtaalam aweke mpango kazi mezani kulingana na definition iliyotumikana kampuni kwa wateja. Strategies zinatokan na potential clients na scope ya operation ya kampuni husika au kusoma market ya baishara nzima na kuwafaham competitors. Lakin pia marketing inakwenda na facilities..

Angesema tu Right Way In Light kampuni yake inahusika na nn, mm nina uzoef wa health care industry ninshushiepo CV
Health care industry napenda kufahamu ni upande wa surgical devices au medicine 💊 💉
 
Hum kuna watu serious halaf sio serious halaf hao hao tena ndio wazinguaje kwel linapokuja suala lankazi nankufanya mambo ya msingi. Nina uzoefu mkubwa sana na watu wa humu kwenye hili eneo, so wala usiogope sana maneno
Mm ningekushaur kwanza kabla hujaweka mtu kwemye marketing umpe task aandae work plan ya kuhakikisha wateja ulionao hawapotei ndani ya miaka hii mitatu. Mana marketing manager anaweza kuonekana hafanyi kazi kwa kigezo cha kutoongezeka wateja.. unamuases vip market officer wako?
 
Mm ningekushaur kwanza kabla hujaweka mtu kwemye marketing umpe task aandae work plan ya kuhakikisha wateja ulionao hawapotei ndani ya miaka hii mitatu. Mana marketing manager anaweza kuonekana hafanyi kazi kwa kigezo cha kutoongezeka wateja.. unamuases vip market officer wako?
Ni sahihi chief..
Sema sasa huu uzi mbona kama mwenye nao kautelekeza ?😂😂.

Anyway mkuu naona kama kuna kitu cha msingi sana unakiongea hapa.

So aandae plan ya ku maintain wateja waliopo hilo limekaa poa, ila concern kubwa ni kuongeza customer base. Hawa aliowakuta sio issue sana, awe na olan yake ya kuwapata na kuwa maintain labda
 
Mm ningekushaur kwanza kabla hujaweka mtu kwemye marketing umpe task aandae work plan ya kuhakikisha wateja ulionao hawapotei ndani ya miaka hii mitatu. Mana marketing manager anaweza kuonekana hafanyi kazi kwa kigezo cha kutoongezeka wateja.. unamuases vip market officer wako?
Una MAARIFA sanaa mzee
 
Wateja wanapatiana mkuu shida kuendelea nao kila siku. Mana kampuni nyingine hazina cutsomer care nzuri wateja wanapita tu. Na kampuni ikisatisfai huduma au bidhaa kwa wateja kukua sio kesi kubwa mana hapo mnapata kwa recommenders.

Kuna kikampuni flan hiv niliwah kukaa kipind flan kilinisumbua sana. Kinahusika na printing wateja pale wanapita tu mana identity ya manager ilikuwa mbaya ana majivuno sana jamaa hadi kwa wateja yan
Ni sahihi chief..
Sema sasa huu uzi mbona kama mwenye nao kautelekeza ?😂😂.

Anyway mkuu naona kama kuna kitu cha msingi sana unakiongea hapa.

So aandae plan ya ku maintain wateja waliopo hilo limekaa poa, ila concern kubwa ni kuongeza customer base. Hawa aliowakuta sio issue sana, awe na olan yake ya kuwapata na kuwa maintain labda
 
Wateja wanapatiana mkuu shida kuendelea nao kila siku. Mana kampuni nyingine hazina cutsomer care nzuri wateja wanapita tu. Na kampuni ikisatisfai huduma au bidhaa kwa wateja kukua sio kesi kubwa mana hapo mnapata kwa recommenders.

Kuna kikampuni flan hiv niliwah kukaa kipind flan kilinisumbua sana. Kinahusika na printing wateja pale wanapita tu mana identity ya manager ilikuwa mbaya ana majivuno sana jamaa hadi kwa wateja yan
Wewe ni NEXT LEVEL Kuna kipindi kwenye industry yangu nilikuzaa jina langu everywhere lilikua kila sehemu..

Unajua marketing ni Kama Sanaa ya kutongoza😊

Zamani Sanaa Maboss wakawa wanatuma watu wao kunishawishi nijiunge nao NDIPO KIPINDI NILICHO KUJA KUGUNDUA MIMI NI MTU WA TOFAUTI.

Kuna watu waaminifu SANAA na Very potential ukiwa nao kwenye kampuni yako jifunze kuwatunza maana wakiondoka na kampuni nyingi sanaaa zinaanza ku struggle
 
Wewe ni NEXT LEVEL Kuna kipindi kwenye industry yangu nilikuzaa jina langu everywhere lilikua kila sehemu..

Unajua marketing ni Kama Sanaa ya kutongoza😊

Zamani Sanaa Maboss wakawa wanatuma watu wao kunishawishi nijiunge nao NDIPO KIPINDI NILICHO KUJA KUGUNDUA MIMI NI MTU WA TOFAUTI.

Kuna watu waaminifu SANAA na Very potential ukiwa nao kwenye kampuni yako jifunze kuwatunza maana wakiondoka na kampuni nyingi sanaaa zinaanza ku struggle
Kampuni hata kama inakua ndogo kwa sababu ina wateja. Ikipoteza hao ilokuwa nao haiwez kuwa ndogo tena mana itakua na jina tofauti.. customer care na customer satisfaction ndo inakuaga mtihan. Yule jamaa yangu ana wateja sana ila anawatrit kama anawasiadia kupata huduma kwake wakat wanalipia.

Ilifika hatua mpaka anatukanana nao, ikawa kila sehem nadeliver products napokea complaints. Jamaa sehem nyingine ananiambia nenda wewe mana huyu nishagombana nae
 
Ofkoooz
Wewe ni NEXT LEVEL Kuna kipindi kwenye industry yangu nilikuzaa jina langu everywhere lilikua kila sehemu..

Unajua marketing ni Kama Sanaa ya kutongoza😊

Zamani Sanaa Maboss wakawa wanatuma watu wao kunishawishi nijiunge nao NDIPO KIPINDI NILICHO KUJA KUGUNDUA MIMI NI MTU WA TOFAUTI.

Kuna watu waaminifu SANAA na Very potential ukiwa nao kwenye kampuni yako jifunze kuwatunza maana wakiondoka na kampuni nyingi sanaaa zinaanza ku struggle
 
Kampuni hata kama inakua ndogo kwa sababu ina wateja. Ikipoteza hao ilokuwa nao haiwez kuwa ndogo tena mana itakua na jina tofauti.. customer care na customer satisfaction ndo inakuaga mtihan. Yule jamaa yangu ana wateja sana ila anawatrit kama anawasiadia kupata huduma kwake wakat wanalipia.

Ilifika hatua mpaka anatukanana nao, ikawa kila sehem nadeliver products napokea complaints. Jamaa sehem nyingine ananiambia nenda wewe mana huyu nishagombana nae
😂nenda wew Mimi Nisha gombana nao balaaa 😴😴
 
Back
Top Bottom