Nahitaji mume 33-40 age

Mamboz... Hongera kwa ujasiri wako. Ni wadada wachahce sana wa kibongo wenye ujasiri kama wako. Nakutakia kila la kheri.:decision::hand::A S 112:
 
ha hahaaaaaaaaaaa paulina ww mchokoziiiiiiiiiii
 

POLE BI MKUBWA! TATIZO LAKO..kwenye text yako palipopigwa nyekundu..! nafikiri hata huyu unayemtafuta hapa JF hamtadumu endapo hautarekebisha timetable yako na kuanza kukutana naye! ukiwa na muda wa kutosha hata "huyo uliyenaye anafaa kuwa mumeo"!nimesema hivi coz unadai hujawai kuolewa na una mtoto...so find enough time to close your Boyfriend..unless you have some other problems! sory if I misunderstood you!:hand:
 
Kila la Kheri mushijack.,......naamini kabisa uko serious.....utafanikiwa..
 
Duh kwa umri ulio weka cna lakufanya ila ingewezekana shusha hadi miaka 12
 
Kwa kweli ni kuomba mungu mimi nilijitosa kwa mkaka humuhumu alitoa tangazo hamuwezi amini tulipofikia,wengine wako serious msiogope mnaotafuta uhusiano humu


duuuh am impressed!
 

Umri uliotaja wengi watakuwa na watu wao na wewe umesisitiza ndoa ya Kikristu kwa maana hutaki kushare na mtu. Lakini kwa umri wako ili kupata mtu mtakayeendana naye vizuri.....kuwa nyumba ndogo ndiyo inayokufaa zaidi au uelewe mke wa pili ndoa ya kiislam
 
Hapo kwenye red soma vizuri, usimwekee maneno mtoto wa watu. Dada vuta subira mume mwema anakaribia.
 


Dah...huyu yuko serious kweli maana moja kwa moja hadi chumbani ok ila ingependeza abishe hodi au kapotea....no may be new username ila mwenzetu
 


nimekunguwaa na elimu uliyoitaja kwa daraja hakukuwa na ubaya kama ungeianika maana wengine tunaogopa ''masociologist''..yaani full kuongea ok; na kuhusu tabia sijakuelewa maana kwani hata uhuni ni tabia nzuri ''as we always live symbiotically'' ok labda mvuto sina comments ntakucheki
 
 
Kwa kweli ni kuomba mungu mimi nilijitosa kwa mkaka humuhumu alitoa tangazo hamuwezi amini tulipofikia,wengine wako serious msiogope mnaotafuta uhusiano humu

Nitakuwa tayari kutoa mchango kwa harusi yenu itakapowadia wa maana hiyo itakuwa ni mojawapo ya mafanikio ya JF.
All the best
 
pole dada kwa hilo tatizo.Usikate tamaa namfahamu dada fulani aliolewa akiwa na 39 alikuwa so busy.Anafanya kazi ubalozi fulani hapo Dar so ni swala la muda tu GOD gonna give you the best mume.Ila upunguze ucompex in case jichanganye kanisani kuna wanakwaya kibao vijana wazuri yu wa kuwa mme.
 

dah Hii ndo mara ya kwanza namuona huyu Paka akiiacha mada kama hii ipite bila kuipinga.....mara zote umekuwa critic vibaya sana...hata kwa watu wanaohitaji msaada....
 
mushjack nimefit in every aspect bt umri hapo ndio shida.,nitakuwa serengeti boy..ol the best.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…