Nahitaji mume 33-40 age

Nashkuru kwanza kwa kuwa muazi kuamua kuongea kile ambacho kiko moyoni mwako ktk kutafuta maisha vipingamizi ni lazima ndo ufanikiwe ndani ya jf kila mtu ana mtazamo tofauti na mwenzake usijali kama watakuponda au kutumia lugha mbaya hii ndio jamii ya kitanzania nimeamua kuja kufahamia na ww na kuanzisha uhusiano mwema ktk kila hali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…