Waume serious hawapatikani jf dadangu. Utaishia kuumizwa tu!Hello habari Mimi ni mdada nahitaji mume aliye serious namaisha sina mtoto, sifa awe mkiristo ila awe Kanda yaziwa mengine tutaelezana PM karibuni.
Asante sana na Mungu awabariki [emoji120][emoji120]
Hahahahaaaaaa haya bwana umejickia kuongea nawewe,kila Basi linabeba abiria kwasafari liendayo sio Basi lambeya libebe abiria wa kigoma wakati sio njia yake kama nimekukwaza nisamehe bure Kaka kila binadam anamapungufu yake yawezekana nimekukera sorry for that my friend [emoji122]Huyu ataki mme...tumewasiliana lakn naona mama amepuuza tu sijui kwann
Sio kweli kabisa!! wanaume serious tupo kabisa!! Nasema hivi!! Mimi niko serious!Waume serious hawapatikani jf dadangu. Utaishia kuumizwa tu!
Nitag jibuMrejesho mkuu au bado jimbo lipo wazi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aisee, kweli asiye na bahati habahatiki... Yani nina bahati mbaya kama aliyelala na bundi eti ndipo ninaona thread hii mida hii.... Kwa mwendo huu nitakuwa pamoja la Le Mutuz katika jahazi la ma senior bachelors.
bado mume hajapatikana!??Bado nini rafiki??