Nahitaji mume aliye serious na ndoa na kupata watoto

kwanza mwanamke wa kweli hatafuti mume mtandaoni ina maana huko mtaani hutongozwi? afu siku hizi lazima ujaze mimba kwanza afu ndoa ndio inafuatia...kilimo kwanza mwenzangu unabania shamba hilo
Kwani si nimeamua mwenyewe. Kwani wa mtaani sijawaona... Acha kiherehere.kama huna cha kusema pita tu
 
kwani mtandaoni kuna majini?
majini yapo sasa mfano mm hapa ninaamua kumdanganya dada wa watu ambaye hajui chochote kuhusu mimi, ninaanzaje kumpenda?atajuaje simdanganyi?mitandao inarahisha ila siyo kila kitu aisee
 
kwani mtandaoni kuna majini?
majini yapo sasa mfano mm hapa ninaamua kumdanganya dada wa watu ambaye hajui chochote kuhusu mimi, ninaanzaje kumpenda?atajuaje simdanganyi?mitandao inarahisha ila siyo kila kitu aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…