Nahitaji mume aliye serious na ndoa na kupata watoto

Nahitaji mume aliye serious na ndoa na kupata watoto

Ukishampata humu usisahau kutuletea kadi ya mwaliko!!
All the best bibie
 
Nilishakuwa kwenye mahusiano. Na ndo mana nikaweka hivyo sihitaji sex kabla ya ndoa. Atakae kuwa tayari atakubaliana Nami
Mhhhh!! Watu siku hizi wanaonja kwanza. Siyo aje kuoa akute papuch yako ni swimming pool na hivi unasema ulishakaa kwenye mausiano. Au akute kumbe mgumu wa kudo. Ukido kamoja tayari unalalama au akute mkavu mpaka utumie mafuta ya kurainisha
 
Eti sihitaj kujihusisha na mapenz mpaka ndoa
Kuna watu mnaumwa
Yaan una shida na unatoka mashrti duuu
Anyway maoni yako so ni lazima tuyaheshimu
Shida ya mtu usiitumie kama fimbo ya kumchampia
IMG-20170205-WA0012.jpg
 
Mimi ni msichana umri wangu ni miaka 28,nahitaji mwanaume ambae mungu akijaalia awe mume wangu wa ndoa.
Ni baada ya kukaa mda mrefu bila ya mahusiano... Awe tayari kuwa nami kwa shida na raha. Nami ntakuwa tayari kuwa nae kwenye shida na raha. Awe anafanya kazi halali ya kumuingizia kipato cha kuitunza familia yake..
Awe na umri kuanzia miaka 35 _40. Na awe tayari kwenda kucheki afya kabla ya yote.
Na pia sihitaji kujihusisha katika mapenzi mpaka ndoa.

Naamini kutakuwa na mwanaume mwenye hitaji la kweli Kama langu. Tuwe wakweli ..Sichagui dini.. Asanteni..
Huchagui din je huyo utakayempata akiwa na iman tofaut na yako inakuwaj hapo
 
Watu wengi tunahisi ndoa ndiyo ultimate goal kwa mwanamke, ndiyo maana kuna wadau wanaandika kama vile wakitaka mleta uzi aongee kwa kuomba na kubembeleza.

Siyo kweli

Pengine ndoto zake zote kashazifikia ni hii moja tu ndiyo kaiacha na kaamua kutunuku wadau wa humu.

NB.
Wadada JF huu umri mnaoutaka kwa bongo huyo mtu ukimkuta single labda ni mjane, single father, au ni mtalaka.
 
Watu wengi tunahisi ndoa ndiyo ultimate goal kwa mwanamke, ndiyo maana kuna wadau wanaandika kama vile wakitaka mleta uzi aongee kwa kuomba na kubembeleza.

Siyo kweli

Pengine ndoto zake zote kashazifikia ni hii moja tu ndiyo kaiacha na kaamua kutunuku wadau wa humu.

NB.
Wadada JF huu umri mnaoutaka kwa bongo huyo mtu ukimkuta single labda ni mjane, single father, au ni mtalaka.
mbona wapo kibao?
 
Watu wengi tunahisi ndoa ndiyo ultimate goal kwa mwanamke, ndiyo maana kuna wadau wanaandika kama vile wakitaka mleta uzi aongee kwa kuomba na kubembeleza.

Siyo kweli

Pengine ndoto zake zote kashazifikia ni hii moja tu ndiyo kaiacha na kaamua kutunuku wadau wa humu.

NB.
Wadada JF huu umri mnaoutaka kwa bongo huyo mtu ukimkuta single labda ni mjane, single father, au ni mtalaka.
Moja ambayo unaweza kukufanya uwe so desperate
 
Mhhhh!! Watu siku hizi wanaonja kwanza. Siyo aje kuoa akute papuch yako ni swimming pool na hivi unasema ulishakaa kwenye mausiano. Au akute kumbe mgumu wa kudo. Ukido kamoja tayari unalalama au akute mkavu mpaka utumie mafuta ya kurainisha
kumbe una mambo ?
 
Wanawake huwa wako hivyo, ukimfuata serious unataka kuoa, atakukejeli, oo mbona we mkubwa sana, ujana wako umekula na wengine unaniletea uzee wako! Halafu wanawakubali vijana masharo wanatafuna mahindi yote, likibaki gunzi ndiyo linawekewa masharti mpaka uoe ndipo uangalie hilo gunzi kama lina punje.
 
Back
Top Bottom