Nahitaji mume aliye serious na ndoa na kupata watoto

Nahitaji mume aliye serious na ndoa na kupata watoto

Wanawake huwa wako hivyo, ukimfuata serious unataka kuoa, atakukejeli, oo mbona we mkubwa sana, ujana wako umekula na wengine unaniletea uzee wako! Halafu wanawakubali vijana masharo wanatafuna mahindi yote, likibaki gunzi ndiyo linawekewa masharti mpaka uoe ndipo uangalie hilo gunzi kama lina punje.
mnataka kuoa au mnataka ngono?
 
Hapo ndipo alipojiwekea kauzibe... Maana unaweza kukuta mchuchu anazo mbili... na ile ya kiumeni pia inasimama... Hapo ndipo utakapojua kwnini Sudani ya kusini iko kaskazini mwa Uganda
wakuoa utakuwa wewe? tuliza kibamia chako kwa mzee mwenzio huko acheni kashfa wakati shughuli hata hamuwezi na visukari vyenu.wake zenu tu wanagongwa na wauza magenge maana nyie hamna kazi
 
wakuoa utakuwa wewe? tuliza kibamia chako kwa mzee mwenzio huko acheni kashfa wakati shughuli hata hamuwezi na visukari vyenu.wake zenu tu wanagongwa na wauza magenge maana nyie hamna kazi
Ni sehemu gani nimesema nataka kumuoa?? Na mke wangu hapa kaingiaje? Na kibamia na kisukari changu kinakuhusu nini??
 
Back
Top Bottom