Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
We ndo akili huna! Kwani mpaka aje kutaka mwanaume wakumwoa huku jf sio shida hiyo? Tena atakua ana shida nyingi sana kiasi mpaka huko anapoishi akose wakumwoa lazima ana matatizo anaficha..Kuwa na akili wewe, huyu dada hajasema ana shida ila anatafuta mtu wa kuishi nae katika ndoa, wapi ametangaza shida hapo?
Vipi miaka 45 nitafaa?Mimi ni msichana umri wangu ni miaka 28,nahitaji mwanaume ambae mungu akijaalia awe mume wangu wa ndoa.
Ni baada ya kukaa mda mrefu bila ya mahusiano... Awe tayari kuwa nami kwa shida na raha. Nami ntakuwa tayari kuwa nae kwenye shida na raha. Awe anafanya kazi halali ya kumuingizia kipato cha kuitunza familia yake..
Awe na umri kuanzia miaka 35 _40. Na awe tayari kwenda kucheki afya kabla ya yote.
Na pia sihitaji kujihusisha katika mapenzi mpaka ndoa.
Naamini kutakuwa na mwanaume mwenye hitaji la kweli Kama langu. Tuwe wakweli ..Sichagui dini.. Asanteni..
We change id utakavyo ila desperation inakuumbuakwani lazima mumtolee kashfa dada wa watu?
daah nimekufanya nn unipe kashfa hizi?huna tofauti na mose iyobo kumuita mwenzake nyani.wa kuoa utakuwa wewe? bora anaeuziwa mbuzi maana wewe sijui ni kiumbe gani ngedere ana nafuu
Heheheh dah usawa huu unaia Lucy kibaki duuu si bora kubaki thingo aisee ule wadada wabichiiii kama embe la kula na chumviAfu kwa povu hilo anategemea vijana waoe. Vijana hawapendi kuoa mimama aina ya "Lucy Kibaki"
mimi sijamdhihaki mkuu ila icho kipengele cha kunyimana mpaka ndoa naona siyo sahihi, akifuteMtafuta mume mrs fiance nahisi anajuuuta kufungua huu uzi. Watu mmeugeuza chitchat. Jamani mpeni nafasi watu siriaz waje.
Msimpandishe hasira hata wale potential watakimbia. Chondechonde wakuu.
Masharti aloweka wala si magumu. Wapo wengi wa kuyatimiza. Kama huwezi muombee tu Mungu afanikishe hitaji la moyo wake. Tusimdhihaki wala kumkejeli tena jamani. Asanteni.
Asprin, gwijimimi, instagram, chaliifrancisco, Escobar, Dar half life, HM DICTIONARY, Castr, mbongo_halisi, mbu dume, bullar, mshipa, Brightfame, mashoodjr, Nokia83, Behaviourist, Mwananchi, 13 mega pixel, ozil 10, Milale, ngudengude, MWANDENDEULE
Hawa si ndo wale wanajifanyaga wazuri wanasema "checklist" kibao kama wanaume wanawaumba wao yaanSi unaona anajiita miss natafuta? Inaelekea kashatafuta sana na kusindikiza sana
Achana nae mkuu,ulimbukeni unamsumbua aiseeWe ndo akili huna! Kwani mpaka aje kutaka mwanaume wakumwoa huku jf sio shida hiyo? Tena atakua ana shida nyingi sana kiasi mpaka huko anapoishi akose wakumwoa lazima ana matatizo anaficha..
πππ unataka kuoa au unataka papuchi?daah nimekufanya nn unipe kashfa hizi?huna tofauti na mose iyobo kumuita mwenzake nyani.
unadhan siwezi kuoa?@miss natafuta umenivunjia heshima
Hehehehe mkuu usinichukulie vibaya was just trying to show her why hayuko serious besides ukipitia majibu yake tu utaona altitude inavyomsumbuaMtafuta mume mrs fiance nahisi anajuuuta kufungua huu uzi. Watu mmeugeuza chitchat. Jamani mpeni nafasi watu siriaz waje.
Msimpandishe hasira hata wale potential watakimbia. Chondechonde wakuu.
Masharti aloweka wala si magumu. Wapo wengi wa kuyatimiza. Kama huwezi muombee tu Mungu afanikishe hitaji la moyo wake. Tusimdhihaki wala kumkejeli tena jamani. Asanteni.
Asprin, gwijimimi, instagram, chaliifrancisco, Escobar, Dar half life, HM DICTIONARY, Castr, mbongo_halisi, mbu dume, bullar, mshipa, Brightfame, mashoodjr, Nokia83, Behaviourist, Mwananchi, 13 mega pixel, ozil 10, Milale, ngudengude, MWANDENDEULE
Picha n muhimu mama hata gali lina no mbele na nyumawakuoa utakuwa wewe? kipi alichoandika cha ajabu? tafuta wa kwako unaemtaka
we mzee lala usitafutie watu murder case! ukipewa papuchi wewe si case tu? ukiona tu unazimia kwichikwichi si matanga kabisaAfu kwa povu hilo anategemea vijana waoe. Vijana hawapendi kuoa mimama aina ya "Lucy Kibaki"
Mkuki kwa nguruwe???mkuu nipo na wewe hapa usimuhusishe baba yangu hapa tafadhali
ulitaka akujibuje? tafuta bubuDada ni kweli unatafuta hila kama majibu kwa maandishi ndio haya je mdomo huo itakuwaje....beijing