Nahitaji mume awe anaishi Mbeya

Nahitaji mume awe anaishi Mbeya

mimi apa achana nao nitafute hapa TRA mbeya town...mume umepata
 
Last edited by a moderator:
Mi Niko pande zako ila ukipata ajira nishtue c unajua life ni mtojowise! Warmly welcome.
 
Hahahaaa usijali dada we ni pm unipe na namba angukomile isimu mweeh mweeeh mweeeh hiii ni fursa kwa wote... Upilikeee? mimi apa
 
Last edited by a moderator:
Weka picha yako nkamu sio ujasifiatu, eti black Beauty
 
imbombo ngafuuu

Dah nilikua nasoma comment zamwanzo huku nalisearch hili neno kichwan,.kunajaa yangu alikua anapendasana kulitumia hilo neno bahat nzuri nimeliona
Hivi lina maana gani vile?
 
Huyu lazima atakua miongoni mwa warembo wa jf kaqmua atumie ID mpya ili isiwe noma;-);-)
 
Back
Top Bottom