Nahitaji mume awe anaishi Mbeya

Nahitaji mume awe anaishi Mbeya

am 25 yrz,black beuty,jobless! nahitaji mume anaeishi mbeya nipo mbeya pia...4 more info pm me! nawasilisha! ndaga fijo!

Jobless?whaoo I can see the reason y u want so called mume
 
amambo makafu...(hiyo niliisikia mbeya),, mleta mada ungeandika "anayefanya kazi yoyote halali" kuajiriwa siku hizi sio dili sana..pia ungeongeza details zako kidogo mf: dini,elimu, location(wilaya) maana kusema mbeya tu haitoshi, mtu asije akazani mbeya mjini kumbe ni Kamsamba huko...
all in all wishing you the best
 
Badala utafute kazi kwanza,ww unatafuta mume.Mijanamke mingine bhana
 
Kina ANDENDEKISYE NDAMBO IKUPIRIKA MWAKALINDILE ANDUMBWISYE umewakosa huko???
 
dem wa mbeya akikwambia ni black beuty we vuta picha ya bacary sagna au bafetimbi gomis
 
mbona mademu wengi wa mkoa wa mbeya wanapenda sana kusaka wanaume via jf?
 
Na bado mtatafuta sana wanaume, saiv soko huria bhana kwahiyo kama ulikua unapozi utaonja joto ya jiwe......alaf wengi wenu ambao mnatafuta wanaume umri huwa 25-30 alaf unakuta kwenu wadogo zako wote wameolewa kasoro wewe hahahahahaha.....

Huu mwaka mpaka vichaa watatafutwa
 
Back
Top Bottom