Nahitaji mume hata nikiwa mke wa pili sawa tu

Nahitaji mume hata nikiwa mke wa pili sawa tu

Nawasalimu
Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Kama dini yako inaruhusu kuoa mke zaid ya mmoja basi karibu au kama hujaoa kabisa pia karibu[emoji847]
Sifa zangu
29yrs
Nimeajiriwa
Muislam
Maji ya kunde
Sijawah kuolewa
Sina mtoto

Nimtakae
Kuanzia 30yrs hadi 40
Rangi yoyote
Awe amejiajiri au kuajiriwa
Mcheshi
Mpenda watu/asiwe mchoyo mchoyo[emoji848]
Awe ROMANTIC haswaaaaa[emoji849]
Muislam

Karibuni[emoji4]
Umewahi kutoa mimba? kufanya matusi je?
 
Nawasalimu
Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Kama dini yako inaruhusu kuoa mke zaid ya mmoja basi karibu au kama hujaoa kabisa pia karibu[emoji847]
Sifa zangu
29yrs
Nimeajiriwa
Muislam
Maji ya kunde
Sijawah kuolewa
Sina mtoto

Nimtakae
Kuanzia 30yrs hadi 40
Rangi yoyote
Awe amejiajiri au kuajiriwa
Mcheshi
Mpenda watu/asiwe mchoyo mchoyo[emoji848]
Awe ROMANTIC haswaaaaa[emoji849]
Muislam

Karibuni[emoji4]
Hapo penye dini umenibagua
 
Mwenyewe nahitaji mke ila awe muarabu hata kama mjane ila asiwe ameachika labda mumewe wa kabla kama ana kisukari.
 
Nawasalimu
Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Kama dini yako inaruhusu kuoa mke zaid ya mmoja basi karibu au kama hujaoa kabisa pia karibu[emoji847]
Sifa zangu
29yrs
Nimeajiriwa
Muislam
Maji ya kunde
Sijawah kuolewa
Sina mtoto

Nimtakae
Kuanzia 30yrs hadi 40
Rangi yoyote
Awe amejiajiri au kuajiriwa
Mcheshi
Mpenda watu/asiwe mchoyo mchoyo[emoji848]
Awe ROMANTIC haswaaaaa[emoji849]
Muislam

Karibuni[emoji4]
Nimeipenda hii— ila umesahau kipengele cha ucha mungu, kila la kheri. Kama mcha mungu tuwasiliane
 
  • Thanks
Reactions: kaw
Nawasalimu
Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Kama dini yako inaruhusu kuoa mke zaid ya mmoja basi karibu au kama hujaoa kabisa pia karibu[emoji847]
Sifa zangu
29yrs
Nimeajiriwa
Muislam
Maji ya kunde
Sijawah kuolewa
Sina mtoto

Nimtakae
Kuanzia 30yrs hadi 40
Rangi yoyote
Awe amejiajiri au kuajiriwa
Mcheshi
Mpenda watu/asiwe mchoyo mchoyo[emoji848]
Awe ROMANTIC haswaaaaa[emoji849]
Muislam

Karibuni[emoji4]
Walau bahati hii isinipite na ww isikupite. Njoo inbox
 
  • Thanks
Reactions: kaw
Nawasalimu
Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Kama dini yako inaruhusu kuoa mke zaid ya mmoja basi karibu au kama hujaoa kabisa pia karibu[emoji847]
Sifa zangu
29yrs
Nimeajiriwa
Muislam
Maji ya kunde
Sijawah kuolewa
Sina mtoto

Nimtakae
Kuanzia 30yrs hadi 40
Rangi yoyote
Awe amejiajiri au kuajiriwa
Mcheshi
Mpenda watu/asiwe mchoyo mchoyo[emoji848]
Awe ROMANTIC haswaaaaa[emoji849]
Muislam

Karibuni[emoji4]
Nicheck.mussaomary5034@gmail.com
 
Mi ni mcheshi ila sija bahatika kuajiriwa wala kujiajiri lakini ni mtu mwenye mawazo chanya

Nina wazo hapa

Nafikiria kwasababu wewe mwenzangu umejaaliwa kuwa na ajira unaonaje kupitia hiyo ajira yako ukanifungulia mimi biashara kupitia mshahara wako automatic wote hapo tutakua tumeajiriwa?

Fikiria hilo wazo kwanza
[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom