Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Bar,club,sokoni,vijiwe by kitimoto,hoteli, machinjioni, kote huko wake Wema wapo!Mume mwema hutoka kwa Mungu na sio jf wala mitandaoni. Sisi enzi zetu ukitaka kuoa we nenda kanisani mara kwa mara. Wallah utaona chaguo la moyo wako.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tuma picha yako tuone huo ufupi ulionao😊
NB; hapo kwenye ufupi my dear umechapia. Wewe siyo mfupi! Maana kila mtu hapa duniani ana mnyonge wake. Wewe unajiona mfupi, ni kwa sababu umezungukwa tu na watu waliokuzidi kimo.Mi mwanamke wa miaka 28 mweusi, mfupi, mnene kiasi
Nipo Arusha nafanya kazi office binafsi.
Nahitaji Mume Mkristo aliyeseriouz miaka kwanzia 30-34 awe mrefu, mweupe au maji ya kunde, awe na shughuli yoyote ya kuingiza Kipato na awe hana mtoto au mmoja c n mbaya.
Vyema Zaid kama atakuwa Arusha au mkoa jiran. Aliye tayar ani email... elikanabahati394@gmail.com