hivi wamanga ndo watu gani?Inshaallah utapata hitaji la moyo wako.Dadangu we ni shombe shombe au una umanga make mi ndo hitaji langu.
Wagagagikokohivi wamanga ndo watu gani?
ndo wa wapi haoWagagagikoko
Aisee!!!Fafanua vizuri basi, umesema hujawahi olewa, huna mtoto pia me nataka kufahamu kama bikira bado ipo...? Naomba jibu.
Wabillah Taufiq..
Amiiina habibty 🙏Utampata tu alie sahihi kwako na alie na kheyri nawewe, kila la kheri🙏