Asante kwa mchango wenu, hata mimi nasali. Nimejjijua kwamba ni mke mwema kwa kutumia standard ya biblia
Duh,hizi post zingine sasa,hivi kweli mume mwema anapatikana JF?wacha habari zako bana, piga magoti chumbani kwako lia na mungu wako atakusikia.Habari zenu, mimi nahitaji mwanaume mwema, mwenye heshima,asiyepiga ovyo na anayejua kupenda wa kunioa. Asilimia kubwa ya wanaume ninaowaona huku mtaani wameoa au wana msululu wa wanawake,sasa mwana jf kama unajijua una sifa hasa ya kuja kuwa mume mwema nijibu. Mimi Nina uhakika ntakuwa mke mwema🙂
Asante kwa mchango wenu, hata mimi nasali. Nimejjijua kwamba ni mke mwema kwa kutumia standard ya biblia