salimkabora
JF-Expert Member
- Nov 10, 2012
- 2,441
- 652
naongeza sample space ili probability iwe kubwa ktk kumvuta anayenifaa
Right, mimi sio mwepesi katika kupiga, napiga kwa utaratibu.maana yake ni mtu mwenye wepesi ktk kupiga
narudia sitaki na sipendi kupigwa, nashauri ukaoe mkoa wa mara labda utampata uliyeumbwa kwa akili yake ili uweze kumpigaRight, mimi sio mwepesi katika kupiga, napiga kwa utaratibu.
Manake mwishowe wote tutachoka mana itakuwa imebaki ni kupiga tuuu kila siku hakuna jipya, hapana, napiga kwa mpangilio, na ni lazima nipate muitikio kwamba ujumbe unafika, labda kwa kulia, in which case naweza kuwa nakuumiza sana vile vile, we mwenyewe utanambia wapi panauma nitabadili kipigo ama upande wa kupigia. Ila kuna wakati mwingine si vema kujipanga saaana jinsi ya kupiga, unaacha upepo unavyokwenda uchukue mkondo wake.
ukionja usihamasike itakuaje,? Madaktari wapo si wanajua kucheki watu kama wako normal.Mimi hapa!tatizo tutatofautiana kupima oil mapemaaa..uongo? mana ili nihamasike inabidi nionje ndo way forward ifate..........sasa utaanza oooh tusubiri mpaka ndoa...cjui ka kuna jembe linanunua mbuz kwenye gunia.........labda kwenye mapambio inasemekana
ukionja usihamasike itakuaje,? Madaktari wapo si wanajua kucheki watu kama wako normal.
narudia sitaki na sipendi kupigwa, nashauri ukaoe mkoa wa mara labda utampata uliyeumbwa kwa akili yake ili uweze kumpiga
I am in my early twenties, in my most fertile period of my life mayai hayana tatizo. Una uhakika Natafuta mume jf pekee? Ndo maana nimeandika kama una sifa ya kuja kuwa mume mwema ndo unijibu.kwa hiyo sisi wa kutoka huko kitumbua kishaingia mchanga tena?
labda swali la msingi hapa ni kwamba imekuwaje binti kama wewe kuishia kuganga njaa kutafuta mume humu? kwenye maisha yako ya kila siku hukutani nao? au ndo vile tena "mayai" yako ktk last hour... edging towards expiring!!
kalaghabao!!
Hakuna wa kutokea tu wapo tayari kwani dudu halina period,wakati wowote liko tayari kupiga kama weweKwani akitokea tu tunaoana hapo hapo? Sina haraka hivyo