Aliipata juu kwa juu
Kwa mwanaume mwenye akili akisoma hii coment yako atamuogopa huyo bint kama ukomaNimeipenda
Don’t settle for less mwaya,
Nimegundua wanaume wengi humu ni wapuuzi wanataka ufeki Majibu yako humu ili uonekane mwema,,,there’s nothing wrong kuonyesha your true character,,mtu akikuapproach anajua ana deal na mtu wa aina gani ....all the best!
HahahahaHumu utapata mashetani na ma dragon tupu. Waume wema walikufa kwa bht mbaya
Makabila yote Tanzania wanaume wake umewapiga nyundo haya nenda kaolewe na Mkikuyu..
Kwan wahitaji hata waume za watu pia?Siyo kweli, unataka kuniambia hata baba yako nae ni shetani?
-
Siku zote mtu kisirani na jeuri huwa hawezi kufake hata siku mojaNimeipenda
Don’t settle for less mwaya,
Nimegundua wanaume wengi humu ni wapuuzi wanataka ufeki Majibu yako humu ili uonekane mwema,,,there’s nothing wrong kuonyesha your true character,,mtu akikuapproach anajua ana deal na mtu wa aina gani ....all the best!