Nahitaji mume serious

Nahitaji mume serious

Status
Not open for further replies.

weteam

Member
Joined
Jun 10, 2024
Posts
22
Reaction score
120
Jamani nipo serious natafuta mume nahitaji mwanaume ambaye yupo serious kwaajili ya ndoa na kujenga familia.

Awe na mapenzi ya dhati maana napenda kupendwa na kudeka.

Awe baba kwa watoto wake pia rafiki kwa mimi mke wake yaani napenda mume ambaye ni rafik yangu

Mimi ni single mom ila kiuchumi nipo vizuri nina maisha yangu.
Sina mahusiano na baba mtoto wangu kiufupi maisha yamenipiga viboko sana kwahiyo nilijifunza vingi

Mimi ni mama bora wa familia pia mchapakazi.

Mume ukiwa na mtoto mmoja au wawili itapendeza.

Mume uwe unafanya kazi au biashara.

Mume mimi ni single mom ila sina njaa pia maisha yamenifundisha haswa kwahiyo najua life ni nini na thamani ya mume ni nini.
 
Mimi ningekufaa maana ni single dad Ila watoto mama yao alininyang'anya Ila Sasa unielekeze vizuri unaposema uko vizuri kiuchumi unamaanisha nini ?
Mimi mwenzio napenda nikuzudi hela sio wewe unizidi utanitesa sana ,fanya hivi dondoka PM yangu Ila uje na umri wa ukweli na chanzo Cha mapato yako pasina kusahau ,ukweli kuhusu hali ya muundo wako wa mwili hasa nyuma .
 
Mimi ningekufaa maana ni single dad Ila watoto mama yao alininyang'anya Ila Sasa unielekeze vizuri unaposema uko vizuri kiuchumi unamaanisha nini ?
Mimi mwenzio napenda nikuzudi hela sio wewe unizidi utanitesa sana ,fanya hivi dondoka PM yangu Ila uje na umri wa ukweli na chanzo Cha mapato yako pasina kusahau ,ukweli kuhusu hali ya muundo wako wa mwili hasa nyuma .
Tako sina
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom