Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamwambia ahamie kwako🏃Na tunawaogopa kweli, maana ukipewa namba leo kesho kodi inaisha mwaisa
Huyo manyoya tayari, mwanamke akishazalishwa huko labda huyo jamaa akate moto vinginevyo ni kujitafutia presha ya bureUnamwambia ahamie kwako🏃
Njoo pm tuyajenge plsJamani nipo serious natafuta mume nahitaji mwanaume ambaye yupo serious kwaajili ya ndoa na kujenga familia.
Awe na mapenzi ya dhati maana napenda kupendwa na kudeka.
Awe baba kwa watoto wake pia rafiki kwa mimi mke wake yaani napenda mume ambaye ni rafik yangu
Mimi ni single mom ila kiuchumi nipo vizuri nina maisha yangu.
Sina mahusiano na baba mtoto wangu kiufupi maisha yamenipiga viboko sana kwahiyo nilijifunza vingi
Mimi ni mama bora wa familia pia mchapakazi.
Mume ukiwa na mtoto mmoja au wawili itapendeza.
Mume uwe unafanya kazi au biashara.
Mume mimi ni single mom ila sina njaa pia maisha yamenifundisha haswa kwahiyo najua life ni nini na thamani ya mume ni nini.
🤠🤠🤠walikukosea nini?😀😀😀 namimi natafuta mke jaman ila asiwe mchaga
Hapa ndio pamefanya niishie nilipoanzia single mother hamsahau Baba wa mtoto wake any time Jamaa anarudisha majeshi kuja kuendeleza alipoishia kuibonyeza HIO Mbunye, anaetaka kujilipua acha ajilipue tuMume mimi ni single mom
Nilikuwa na manzi yangu moja ya kichaga nzuri tu ila ilikua inaninyoosha nikiwa sina hela basi haiji haata magetoni wala hainipi tunda🤠🤠🤠walikukosea nini?
Nimekumiss Mchumba Mshangazi sikuoni kabisa umejichimbia wapi kule uzi wa WaremboInshallah atapata.
😃😃😃 kumbe ushawahi kupigwa na kitu kizito pole MkuuNilikuwa na manzi yangu moja ya kichaga nzuri tu ila ilikua inaninyoosha nikiwa sina hela basi haiji haata magetoni wala hainipi tunda
😀 😀 😀 alijua kunitumia balaa asante sana kwa kunicheka mkuu kwani we haijawah kukuta?😃😃😃 kumbe ushawahi kupigwa na kitu kizito pole Mkuu
Nina ban huko.Nimekumiss Mchumba Mshangazi sikuoni kabisa umejichimbia wapi kule uzi wa Warembo
Nimecheka sana na hii comment mwana wala hajauliza kuhusu tako, wewe umejibu kisela kweli🤣🤣🤣Tako sina
Wamekufanyia figisu ulipost nini? Mimi pia nimefukuzwa HUKO nimepigwa life banNina ban huko.
Mwenzio kaliwa ndogo huko SimiyuNataka mwanamke asiye na mtoto na asiwe na pesa maana anakuwa jeuri