Nahitaji mume serious

Nahitaji mume serious

Status
Not open for further replies.
Jamani nipo serious natafuta mume nahitaji mwanaume ambaye yupo serious kwaajili ya ndoa na kujenga familia.

Awe na mapenzi ya dhati maana napenda kupendwa na kudeka.

Awe baba kwa watoto wake pia rafiki kwa mimi mke wake yaani napenda mume ambaye ni rafik yangu

Mimi ni single mom ila kiuchumi nipo vizuri nina maisha yangu.
Sina mahusiano na baba mtoto wangu kiufupi maisha yamenipiga viboko sana kwahiyo nilijifunza vingi

Mimi ni mama bora wa familia pia mchapakazi.

Mume ukiwa na mtoto mmoja au wawili itapendeza.

Mume uwe unafanya kazi au biashara.

Mume mimi ni single mom ila sina njaa pia maisha yamenifundisha haswa kwahiyo najua life ni nini na thamani ya mume ni nini.
Chai
 
Watoto wadeke na wewe udeke sasa kwenye hiyo nyumba ni nani atakuwa mke na nani atakuwa mtoto?? Inaonekana hata watoto una wadekeza sana kitu ambacho sio kizuri kwa maisha yao ya baadae, inawezekana aliyekuacha aliliona hili mapema sana.

Inatakiwa upigwe msasa wa maadili na shangazi zako kabla ya kutaka kuhamishia tabia zako mbovu kwa mwanaume mwingine ambaye ki uhalisia hamtodumu.
Hata mimi nishaelewa saikolojia yake huyu mwanamke ni mtu wa aina gani.
Anaonekana ni aina fulani ya mtu anajiheshimu na hapendi mambo ya kudanga ndio maana akapata ujasiri wa kuja kujieleza kutafuta mume.
Sema hapo kwenye kudeka dosari ya wanawake wa Sampuri yake ni kwamba huwa wanapenda muda mwingi mkae ndani muwe mnacheza tu,ukienda kazini ananuna,ukipata safari ya kikazi pia atanuna,lakini pia ukikaa nyumbani bila kazi maokoto yakipungua atanuna kwa hiyo atakayemuoa ajiandae kwa hilo.
 
Ungekuja kwa ID ile niliyoizoea ingependeza zaidi...ila naamini utapata Mume umpendae nakutakia mafanikio mema..
 
Jamani nipo serious natafuta mume nahitaji mwanaume ambaye yupo serious kwaajili ya ndoa na kujenga familia.

Awe na mapenzi ya dhati maana napenda kupendwa na kudeka.

Awe baba kwa watoto wake pia rafiki kwa mimi mke wake yaani napenda mume ambaye ni rafik yangu

Mimi ni single mom ila kiuchumi nipo vizuri nina maisha yangu.
Sina mahusiano na baba mtoto wangu kiufupi maisha yamenipiga viboko sana kwahiyo nilijifunza vingi

Mimi ni mama bora wa familia pia mchapakazi.

Mume ukiwa na mtoto mmoja au wawili itapendeza.

Mume uwe unafanya kazi au biashara.

Mume mimi ni single mom ila sina njaa pia maisha yamenifundisha haswa kwahiyo najua life ni nini na thamani ya mume ni nini.
Dume ilo kuweni makini wana
 
Ungekuja kwa ID ile niliyoizoea ingependeza zaidi...ila naamini utapata Mume umpendae nakutakia mafanikio mema..
Kumbe unamjua!! Nijazie baruti basi mkuu! Tena mwambie kabisa " yule kaka wa watu hanaga shida kabisa" hivyo tu mkuu, halafu mi nikija tu nalipua kiulaini.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom