Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Unakalia nini mkuu?Tako sina
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakalia nini mkuu?Tako sina
Poleeee wee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nishamaliza kazi mbona[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
Povu ruksa mkuuNani kakwambia natafuta ndoa, nilishawahi kuja kwenu kumchumbia dada yako?
ChaiJamani nipo serious natafuta mume nahitaji mwanaume ambaye yupo serious kwaajili ya ndoa na kujenga familia.
Awe na mapenzi ya dhati maana napenda kupendwa na kudeka.
Awe baba kwa watoto wake pia rafiki kwa mimi mke wake yaani napenda mume ambaye ni rafik yangu
Mimi ni single mom ila kiuchumi nipo vizuri nina maisha yangu.
Sina mahusiano na baba mtoto wangu kiufupi maisha yamenipiga viboko sana kwahiyo nilijifunza vingi
Mimi ni mama bora wa familia pia mchapakazi.
Mume ukiwa na mtoto mmoja au wawili itapendeza.
Mume uwe unafanya kazi au biashara.
Mume mimi ni single mom ila sina njaa pia maisha yamenifundisha haswa kwahiyo najua life ni nini na thamani ya mume ni nini.
Hata mimi nishaelewa saikolojia yake huyu mwanamke ni mtu wa aina gani.Watoto wadeke na wewe udeke sasa kwenye hiyo nyumba ni nani atakuwa mke na nani atakuwa mtoto?? Inaonekana hata watoto una wadekeza sana kitu ambacho sio kizuri kwa maisha yao ya baadae, inawezekana aliyekuacha aliliona hili mapema sana.
Inatakiwa upigwe msasa wa maadili na shangazi zako kabla ya kutaka kuhamishia tabia zako mbovu kwa mwanaume mwingine ambaye ki uhalisia hamtodumu.
Unanikera sasa 😬😬😬Poleeee wee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dume ilo kuweni makini wanaJamani nipo serious natafuta mume nahitaji mwanaume ambaye yupo serious kwaajili ya ndoa na kujenga familia.
Awe na mapenzi ya dhati maana napenda kupendwa na kudeka.
Awe baba kwa watoto wake pia rafiki kwa mimi mke wake yaani napenda mume ambaye ni rafik yangu
Mimi ni single mom ila kiuchumi nipo vizuri nina maisha yangu.
Sina mahusiano na baba mtoto wangu kiufupi maisha yamenipiga viboko sana kwahiyo nilijifunza vingi
Mimi ni mama bora wa familia pia mchapakazi.
Mume ukiwa na mtoto mmoja au wawili itapendeza.
Mume uwe unafanya kazi au biashara.
Mume mimi ni single mom ila sina njaa pia maisha yamenifundisha haswa kwahiyo najua life ni nini na thamani ya mume ni nini.
Mkuu futa hii comment upesi itakuharibia tangazo lakoTako sina
Kumbe unamjua!! Nijazie baruti basi mkuu! Tena mwambie kabisa " yule kaka wa watu hanaga shida kabisa" hivyo tu mkuu, halafu mi nikija tu nalipua kiulaini.Ungekuja kwa ID ile niliyoizoea ingependeza zaidi...ila naamini utapata Mume umpendae nakutakia mafanikio mema..
R.I.PSikutaki nimeolewa na mume serious mwaya sio utani
❤️💕❤️Nilijua tu utakuja kulalamika 😀😀😀😀 nimekumiss na nilikuwa nakuchokoza 😘
Nitake tuone😅Ila mbona humu wasaka wachumba ni nyu membaz tu??? Kumaanisha wakongwe hatutaki?? Au hatupo serious....
Hatimaye umeniletea mbantu Bantu Lady