Kingfisher
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 4,740
- 7,679
Mungu amekua upande wangu....[emoji120]itakuwa ana vaa size 45
kwanini bosiMungu amekua upande wangu....[emoji120]
Hata lako n tatizo piatatizo kabila lako
Ww kama huna hzo sifa wenzako wanazoZAA WA KWAKO KAMA KUKU WA KISASA WANAVYOTAGA BILA JOGOO ILI UONE ILIVYO NGUMU KUFANIKISHA KIJANA WA KIUME KUZIPATA QUALITY ZOTE HIZO.Unadhani ni duka???
Una kilo ngapi? Urefu huo ni futi ngapi na inchi zake?SIFA ZANGU
- miaka 27
-mkristo
-mchaga
-mwalimu
-sina mtoto
-mweusi
-mwembamba
-mrefu
SIFA ZAKE
-anahitaji mke
-mwenye upendo wa dhati
- mkristo
-muajiriwa/amejiajiri
-degree, masters, dr
-umri 30-39
-mrefu
-rangi yoyote
-mkweli
-muaminifu
ungeona nahangahika kutafuta wa kumpapatua hapa jukwaaniHata lako n tatizo pia
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]ZAA WA KWAKO KAMA KUKU WA KISASA WANAVYOTAGA BILA JOGOO ILI UONE ILIVYO NGUMU KUFANIKISHA KIJANA WA KIUME KUZIPATA QUALITY ZOTE HIZO.Unadhani ni duka???
Form six!!!!ukihitaji form six nicheck......
JF naweza pata muoaji mtaani naweza pata wakunichezeaSitaki kuamini muda wote uliosoma hadi kuwa Mwl hukuwahi kupata hata mtu ambaye ulifikiria kuwa atakuwa mmeo.
Sasa JF hii ya Dream liner kweli utapata muoaji au watakuchezea