Nahitaji Mume

Nahitaji Mume

Halafu unambie palipoandikwa usizae nje ya ndoa.

Mkumbuke suleman alikuwa na wanawake wangapi hizo ndoa alifanya lini? Ila alizaaa

Biia inatambua ndoq za watu wangapi?

Ibrahim alishauriwa na mkewe atoke na kijakazi na huyo ndie baba wa imani sasa.

Tafadhali tusiitane wapagani imani naijua pengine kukuzidi
Unakubali kuwa
1.uwasherati na
2.uzinzi ni dhambi?
 
Back
Top Bottom