n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
😀 😀 😀 Hasara ikizidi Sana, huwa inakula hata huo mtaji na unaanza upya.Nasubiri ufike 40 utauza kwa bei ya hasara kunusuru mtaji wako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀 😀 😀 Hasara ikizidi Sana, huwa inakula hata huo mtaji na unaanza upya.Nasubiri ufike 40 utauza kwa bei ya hasara kunusuru mtaji wako.
Umri wa miaka 34-35 ndio miaka mingap?Sifa zangu
Umri: miaka 34-35
Dini: Mkristo
Elimu: Shahada .....
Ajira: Mwajiriwa
Urefu: 161cm
SIFA ZA MWANAUME
Umri: 35-45
Kabila: Lolote
Rangi: Yoyote
Elimu: Shahada na kuendelea
Kazi: Uwe mwajiriwa
Dini: Mkristo
Usiwe mlevi.
Uwe tayari kupima HIV