Unapenda kulamba asali..fursa km hizi sitaki zikupiteMbona tunapakana matope tena jamani mrembo
Mbona mnatusemea sie jamani....kama wewe huna bahati huna wewe tuu usimkatishe tamaa mwenzenu. Alafu humu jf wanwake mbona mwanamke mwenzenu akiwa anatafuta mume mnamkatisha tamaa. Lakini nyie mkifuata pm mnatupiga vibutiKipenzi humu hamna waume wa kuwoa ππ
Wamejaa walamba asali
Ni mwendo wa kulambana tu
Tunamwambia ukweliMbona mnatusemea sie jamani....kama wewe huna bahati huna wewe tuu usimkatishe tamaa mwenzenu. Alafu humu jf wanwake mbona mwanamke mwenzenu akiwa anatafuta mume mnamkatisha tamaa. Lakini nyie mkifuata pm mnatupiga vibuti
Ah wee unanikandia live live kabisa alafu wasema fursa kama hizi hutaki zinipiteUnapenda kulamba asali..fursa km hizi sitaki zikupite
Wee kama huna bahati kwenye cyberspace hiyo ni wewe tuu.
CorrectTafuta rafiki then msomane mbele ya safari. Sasa wewe unatafutaje mume na watu hawakujui?
Unarukage stage?
1. Kufahamiana/urafiki
2. Mchumba
3. Mume
Jichanganye humu utapata marafiki kibao. Usiforce
Sikukandii bwana nasema ukweli.Ah wee unanikandia live live kabisa alafu wasema fursa kama hizi hutaki zinipite
Huo ni uwongo ndoa naitaka sana tuuSikukandii bwana nasema ukweli.
Wewe ni kutafuna mbususu tu ndoa hutaki, sisemi uongo
Hallelujah!Huo ni uwongo ndoa naitaka sana tuu
Yolly yolly anajua lakini?πEmbu nichek pm nilikuwa sina bundle
Wote Ni wanawake?? Hata Mshana Ni mwanamke ???π€ͺπ€ͺπ€ͺHumu hakuna wanaume dear
Nitolee uchawi wako hapa ww kijana πππππYolly yolly anajua lakini?π
Vigezo vya huyu βwife to beβ umepitia lakini? Baki kwa yolly yollyNitolee uchawi wako hapa ww kijana πππππ