Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapenda kulamba asali..fursa km hizi sitaki zikupiteMbona tunapakana matope tena jamani mrembo
Mbona mnatusemea sie jamani....kama wewe huna bahati huna wewe tuu usimkatishe tamaa mwenzenu. Alafu humu jf wanwake mbona mwanamke mwenzenu akiwa anatafuta mume mnamkatisha tamaa. Lakini nyie mkifuata pm mnatupiga vibutiKipenzi humu hamna waume wa kuwoa 😂😂
Wamejaa walamba asali
Ni mwendo wa kulambana tu
Tunamwambia ukweliMbona mnatusemea sie jamani....kama wewe huna bahati huna wewe tuu usimkatishe tamaa mwenzenu. Alafu humu jf wanwake mbona mwanamke mwenzenu akiwa anatafuta mume mnamkatisha tamaa. Lakini nyie mkifuata pm mnatupiga vibuti
Ah wee unanikandia live live kabisa alafu wasema fursa kama hizi hutaki zinipiteUnapenda kulamba asali..fursa km hizi sitaki zikupite
Wee kama huna bahati kwenye cyberspace hiyo ni wewe tuu.
CorrectTafuta rafiki then msomane mbele ya safari. Sasa wewe unatafutaje mume na watu hawakujui?
Unarukage stage?
1. Kufahamiana/urafiki
2. Mchumba
3. Mume
Jichanganye humu utapata marafiki kibao. Usiforce
Sikukandii bwana nasema ukweli.Ah wee unanikandia live live kabisa alafu wasema fursa kama hizi hutaki zinipite
Huo ni uwongo ndoa naitaka sana tuuSikukandii bwana nasema ukweli.
Wewe ni kutafuna mbususu tu ndoa hutaki, sisemi uongo
Hallelujah!Huo ni uwongo ndoa naitaka sana tuu
Yolly yolly anajua lakini?😅Embu nichek pm nilikuwa sina bundle
Wote Ni wanawake?? Hata Mshana Ni mwanamke ???🤪🤪🤪Humu hakuna wanaume dear
Nitolee uchawi wako hapa ww kijana 😂😂😂😂😂Yolly yolly anajua lakini?😅
Vigezo vya huyu “wife to be” umepitia lakini? Baki kwa yolly yollyNitolee uchawi wako hapa ww kijana 😂😂😂😂😂