Greatthinker47
Senior Member
- Sep 24, 2021
- 145
- 260
Ye mwenyewe kajionea hukoWote Ni wanawake?? Hata Mshana Ni mwanamke ???🤪🤪🤪
Mdomo komaEmbu nichek pm nilikuwa sina bundle
Nakuombea lakini pia mtangulize na kumshirikisha Mungu kwa karibu sana kwenye jambo hili la kheri lakini lililojaa vikwazo vya kila ainaNiliandika uzi wangu wiki mbili zilizopita kwamba natafuta mume wa kujenga maisha haya mafupi yaliyobakia duniani, wakaja watu wengi PM lakini hakuna hata mmoja aliyekuwa serious. Wengi wamekuja kunijaribu tu basi, aliyeserious ndiyo namuhitaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kivip??Mwanamke anayetaka ndoa, kimatendo tu anajulikana
Usimkatishe Nia. Humu Kuna single men and women hivyo anaweza kupata.Sweetheart hakuna kitu huku..
Kuna wanawake tu? Mbona umetudhau LovelovieHumu hakuna wanaume dear
Tembea yake, mavazi anayovaa, namna anavyoongeaKivip??
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] jina limekaa kiume umeHilo jina itasababisha uendelee kua single mother jina linatisha taswira inayokuja ni kama vile Dume flani! [emoji16][emoji16]
Criteria mbona hatuzioni .....Niliandika uzi wangu wiki mbili zilizopita kwamba natafuta mume wa kujenga maisha haya mafupi yaliyobakia duniani, wakaja watu wengi PM lakini hakuna hata mmoja aliyekuwa serious. Wengi wamekuja kunijaribu tu basi, aliyeserious ndiyo namuhitaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unagusa jina la mhusika mfano Mr bons utaona sehemu imeandikwa message gusa apooo ndoo PM(private message)Msaada jinsi kuingia pm
Utuombe radhiHumu hakuna wanaume dear
Ukitoa post tumia akili ..... don't just provokeHumu hakuna wanaume dear