Nahitaji mume

PM ndo wap n Hotel au? Me nataka kuja kutoka kigambon had PM naul naweza kutumia shngap jaman Fanya haraka mnielekeze niende leoleoo..
 
Nakuombea lakini pia mtangulize na kumshirikisha Mungu kwa karibu sana kwenye jambo hili la kheri lakini lililojaa vikwazo vya kila aina
 
kwa style uliokuja nayo lazma watu wakujaribu sana ww kama unahtaj mume anza kuwa na marafiki msome mtu jua nn misingi yako kwake alaf njia zitajijenga zenyewe ila ukitangaza kama hvo me nakuona kama muuza papa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…