Nahitaji mume

Nahitaji mume

PM ndo wap n Hotel au? Me nataka kuja kutoka kigambon had PM naul naweza kutumia shngap jaman Fanya haraka mnielekeze niende leoleoo..
 
Niliandika uzi wangu wiki mbili zilizopita kwamba natafuta mume wa kujenga maisha haya mafupi yaliyobakia duniani, wakaja watu wengi PM lakini hakuna hata mmoja aliyekuwa serious. Wengi wamekuja kunijaribu tu basi, aliyeserious ndiyo namuhitaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuombea lakini pia mtangulize na kumshirikisha Mungu kwa karibu sana kwenye jambo hili la kheri lakini lililojaa vikwazo vya kila aina
 
kwa style uliokuja nayo lazma watu wakujaribu sana ww kama unahtaj mume anza kuwa na marafiki msome mtu jua nn misingi yako kwake alaf njia zitajijenga zenyewe ila ukitangaza kama hvo me nakuona kama muuza papa tu
 
Back
Top Bottom