Nahitaji mwanamke atakaekuja kuwa mke wangu

Nahitaji mwanamke atakaekuja kuwa mke wangu

Edgar Bisoo

Member
Joined
May 19, 2021
Posts
28
Reaction score
51
Kama wewe ni muhusika basi husika na kichwa cha habari.
Mimi ni kijana wa miaka 36, na ni baba pia wa mtoto mmoja wa kiume. Nilikimbiwa na mwanamke baada ya kuyumba kiuchumi na mpaka sasa bado sijakaa sawa. Kama nitapata mwanamke ambae ataweza kunipenda nikiwa siko vzr kiuchumi hataacha kunipenda nitakapokua vizuri. Ninaposema kuwa siko vizuri kiuchumi namaanisha kwa sababu hata kuishi kwa sasa naishi kwa ndugu na ninafanya shughuli zenye kipato kidogo sana...........

Nahitaji mwanamke aliepevuka kimwili na akili na miaka yake isizidi 33.

N:B Hali yangu hainifanyi nishindwe kuwa na machaguo.
 
Kama wewe ni muhusika basi husika na kichwa cha habari.
Mimi ni kijana wa miaka 36, na ni baba pia wa mtoto mmoja wa kiume. Nilikimbiwa na mwanamke baada ya kuyumba kiuchumi na mpaka sasa bado sijakaa sawa. Kama nitapata mwanamke ambae ataweza kunipenda nikiwa siko vzr kiuchumi hataacha kunipenda nitakapokua vizuri. Ninaposema kuwa siko vizuri kiuchumi namaanisha kwa sababu hata kuishi kwa sasa naishi kwa ndugu na ninafanya shughuli zenye kipato kidogo sana...........

Nahitaji mwanamke aliepevuka kimwili na akili na miaka yake isizidi 33.

N:B Hali yangu hainifanyi nishindwe kuwa na machaguo.
Mkuu hapa umeingia chaka. Bora ungetafuta huko huko mitaani. Tena umesema upo kwa ndugu? Pole sana mkuu hama hapo kwa ndugu haraka san.
 
Kama wewe ni muhusika basi husika na kichwa cha habari.
Mimi ni kijana wa miaka 36, na ni baba pia wa mtoto mmoja wa kiume. Nilikimbiwa na mwanamke baada ya kuyumba kiuchumi na mpaka sasa bado sijakaa sawa. Kama nitapata mwanamke ambae ataweza kunipenda nikiwa siko vzr kiuchumi hataacha kunipenda nitakapokua vizuri. Ninaposema kuwa siko vizuri kiuchumi namaanisha kwa sababu hata kuishi kwa sasa naishi kwa ndugu na ninafanya shughuli zenye kipato kidogo sana...........

Nahitaji mwanamke aliepevuka kimwili na akili na miaka yake isizidi 33.

N:B Hali yangu hainifanyi nishindwe kuwa na machaguo.
Basi sawa,
Ngoja tuone....
 
Kama wewe ni muhusika basi husika na kichwa cha habari.
Mimi ni kijana wa miaka 36, na ni baba pia wa mtoto mmoja wa kiume. Nilikimbiwa na mwanamke baada ya kuyumba kiuchumi na mpaka sasa bado sijakaa sawa. Kama nitapata mwanamke ambae ataweza kunipenda nikiwa siko vzr kiuchumi hataacha kunipenda nitakapokua vizuri. Ninaposema kuwa siko vizuri kiuchumi namaanisha kwa sababu hata kuishi kwa sasa naishi kwa ndugu na ninafanya shughuli zenye kipato kidogo sana...........

Nahitaji mwanamke aliepevuka kimwili na akili na miaka yake isizidi 33.

N:B Hali yangu hainifanyi nishindwe kuwa na machaguo.
safi kaka, kila mtu ana haki ya kupendwa
 
Back
Top Bottom