Nahitaji Mwanamke awe nyumba ndogo

Kwa nini ndg? Nishauri kwa njia mbadara usinitakie mabaya hivi. Huenda ushauri wako utaniokoa. Ungeniuliza kwa nini natafuta mwanamama mwingine wakati ninaye mwingine.
Nope sjakutakia mabaya... labda ueleze kwanini umeamua hivyo alafu ndio nifafanue maoni yangu
 
Ushauri mzuri mkuu. Japo ntakuwa namdanganya maana dini yangu hairuhusu japo nmeipaki pembeni kwa muda.
Dini hairuhusu mke wa pili lakini inaruhusu mwanamke wa nje..[emoji849]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…