Donald Marcus Hemu
JF-Expert Member
- May 14, 2019
- 372
- 535
Kumbee hapo nimeelewa sasa
100/2 = 50nikupe formula ya umri wa mwanamke wa kuoa. Ukitaka kuoa mwanamke chukua umri wako gawanya kwa mbili then jumlisha 7. Kwa mfano wewe una umri wa miaka 32 so unaetaka kumuoa anatakiwa awe na umri wa miaka ((32/2)+7)=23. THANK ME LATER.
[emoji86][emoji86][emoji86]Weupe wakijichanganya waelekeze njia ya huku kwangu.
Kwa hiyo tunaanza kuongea lugha moja?
Kiasi,wewe pia unataka blackiii[emoji28]
Akiwa weupe usisite kunipigia pass.Ndiyo ndiyo.
Akiwa weupe usisite kunipigia pass.
Usijali kamanda, limepita.
Ndiyo ndiyo.
[emoji28][emoji28][emoji28]kwaio nikiwa mweupe unampa jirani yako hapa number aendeleze safari?
Okei kama unapenda sisi rangi ya mkaa karibu