Yieen
Senior Member
- May 8, 2012
- 103
- 27
Habari zenu :
Kwa mara ya kwanza naandika Makala hii kumtafuta mdada anaejitambua ili tuweze kukaa chini na kujenga mahusiano mazur kwa misingi ya ndoa halal’ ninamiaka 31yrs ; naamini panapo maelewano kila jambo linaenda kama lilivo pangwa: naomba aje pm kwa wenye hitaji kama langu tu:
Asanteni:
Kwa mara ya kwanza naandika Makala hii kumtafuta mdada anaejitambua ili tuweze kukaa chini na kujenga mahusiano mazur kwa misingi ya ndoa halal’ ninamiaka 31yrs ; naamini panapo maelewano kila jambo linaenda kama lilivo pangwa: naomba aje pm kwa wenye hitaji kama langu tu:
Asanteni: