Nahitaji mwanamke / mdada: ili nipange nae maisha-SIO BINTI.

Nahitaji mwanamke / mdada: ili nipange nae maisha-SIO BINTI.

Sipendi na udhalilishaji usio maana
Tusichafuane pasipo sababu za msingi

Cjawahi kuandika huu ujinga na kama mods pia wanaleta mambo ya kipumbavu kuweka mambo yao kwa mtu ‘ wanifungie na wanitoe kabisa hapa jf sipendi kujana kipumbavu
Hahahahahaaaa

pokrei

Pitia huku my sis,kumenoga.
 
Mm ni mtu smart

Na nipo na position yangu ya kuheshimikana kujiheshimu pia
@Gentamycin

Nakumbuka ulikuwa mtu wa kwanza kumshauri 2014
Dada Delvis,alipokuwa na tatizo la kupata maumivu,wakati wa tendon

Kwa heshima na taadhima mkuu,naomba uje mahali hapa,maana muhusika anapinga vikali hajawahi weka Uzi wa aina hiyo

Kwa sasa yeye ni kaka Delvis,sio Dada tena.
 
hapo sasa ndo penyewe
Ukikuta ulichotegemea sicho,ndo mwanzo wa kutumiana na kuachana,ila lazima utakuwa umemuona bhana,akikutumia picha WhatsApp na kukueleza jinsi alivyo,taswira lazima ije.

Cha msingi ukimeet ukiona hakidhi vigezo,ukirudi home unamtumia sms ndefuuu

U know what Dinnah wewe ni msichana mzuri sana,una vigezo vingi ambavyo mwanaume anahitaji,ila D Mimi naomba niwe muwazi kwako,wewe si aina ya mwanamke ninayemuhitaji

Ipo siku utampata aliye bora kwako,nitabaki kama rafiki wa karibu kwako bye.

Simple tu kuliko umtumie wakati si chaguo lako,kukaa na mtu usiyempenda kutoka moyoni kazi,na yataka moyo

Lazima mwisho wa siku uvumilivu ukushinde

NB,Usiachane na mtu kwa ugomvi,na kuwekeana visasi,kutukanana n.k.
Bado wapo wanawake wenye akili zilizotulia kumbe
 
hapo sasa ndo penyewe
Ukikuta ulichotegemea sicho,ndo mwanzo wa kutumiana na kuachana,ila lazima utakuwa umemuona bhana,akikutumia picha WhatsApp na kukueleza jinsi alivyo,taswira lazima ije.

Cha msingi ukimeet ukiona hakidhi vigezo,ukirudi home unamtumia sms ndefuuu

U know what Dinnah wewe ni msichana mzuri sana,una vigezo vingi ambavyo mwanaume anahitaji,ila D Mimi naomba niwe muwazi kwako,wewe si aina ya mwanamke ninayemuhitaji

Ipo siku utampata aliye bora kwako,nitabaki kama rafiki wa karibu kwako bye.

Simple tu kuliko umtumie wakati si chaguo lako,kukaa na mtu usiyempenda kutoka moyoni kazi,na yataka moyo

Lazima mwisho wa siku uvumilivu ukushinde

NB,Usiachane na mtu kwa ugomvi,na kuwekeana visasi,kutukanana n.k.
I really would like to see how you draft your emails, and may be your proffession as well.
 
Me nlikuwa nahisi mnaanza kukaa chini na kupanga pamoja. Ila kiukweli financials ndio mpango mzima
[emoji3] [emoji3] , kabla ya kukaa chini inabidi ujue je pesa ipo , maana ndyo mtajadili vizuri na mkafikia muafaka( joke bana)[emoji3]
 
Sorry My lady I need to talk to only interested ladies with my post... na si wale wenye mawazo yao yanaangalia pesa yangu
Ila sasa km nikiwa sina pesa, afu nisiangalie km mwanaume ana pesa au lah mwisho wa siku naenda kukutana na wimbo wa sina ela kila siku nan anataka hayo????
 
Back
Top Bottom