Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo unataka kusema mods wamekuandikia ule UziMm ni mtu smart
Na nipo na position yangu ya kuheshimikana kujiheshimu pia
HahahahahaaaaSipendi na udhalilishaji usio maana
Tusichafuane pasipo sababu za msingi
Cjawahi kuandika huu ujinga na kama mods pia wanaleta mambo ya kipumbavu kuweka mambo yao kwa mtu ‘ wanifungie na wanitoe kabisa hapa jf sipendi kujana kipumbavu
@GentamycinMm ni mtu smart
Na nipo na position yangu ya kuheshimikana kujiheshimu pia
Na wewe best huna ulilowaza zaidi ya pesa kwanza?? Saluti kwakohizo pesa kwenye avatar yako ni zako kweli?
Bado wapo wanawake wenye akili zilizotulia kumbehapo sasa ndo penyewe
Ukikuta ulichotegemea sicho,ndo mwanzo wa kutumiana na kuachana,ila lazima utakuwa umemuona bhana,akikutumia picha WhatsApp na kukueleza jinsi alivyo,taswira lazima ije.
Cha msingi ukimeet ukiona hakidhi vigezo,ukirudi home unamtumia sms ndefuuu
U know what Dinnah wewe ni msichana mzuri sana,una vigezo vingi ambavyo mwanaume anahitaji,ila D Mimi naomba niwe muwazi kwako,wewe si aina ya mwanamke ninayemuhitaji
Ipo siku utampata aliye bora kwako,nitabaki kama rafiki wa karibu kwako bye.
Simple tu kuliko umtumie wakati si chaguo lako,kukaa na mtu usiyempenda kutoka moyoni kazi,na yataka moyo
Lazima mwisho wa siku uvumilivu ukushinde
NB,Usiachane na mtu kwa ugomvi,na kuwekeana visasi,kutukanana n.k.
I really would like to see how you draft your emails, and may be your proffession as well.hapo sasa ndo penyewe
Ukikuta ulichotegemea sicho,ndo mwanzo wa kutumiana na kuachana,ila lazima utakuwa umemuona bhana,akikutumia picha WhatsApp na kukueleza jinsi alivyo,taswira lazima ije.
Cha msingi ukimeet ukiona hakidhi vigezo,ukirudi home unamtumia sms ndefuuu
U know what Dinnah wewe ni msichana mzuri sana,una vigezo vingi ambavyo mwanaume anahitaji,ila D Mimi naomba niwe muwazi kwako,wewe si aina ya mwanamke ninayemuhitaji
Ipo siku utampata aliye bora kwako,nitabaki kama rafiki wa karibu kwako bye.
Simple tu kuliko umtumie wakati si chaguo lako,kukaa na mtu usiyempenda kutoka moyoni kazi,na yataka moyo
Lazima mwisho wa siku uvumilivu ukushinde
NB,Usiachane na mtu kwa ugomvi,na kuwekeana visasi,kutukanana n.k.
Hahaa, ndyo hivo kifinancial zaidi, vipi wewe best umewaza lipi hilo la zaidi?, ili nijifunzie kwakoNa wewe best huna ulilowaza zaidi ya pesa kwanza?? Saluti kwako
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Aaaa Delvis
Umeasahau ulikuwa unapata maumivu ya tumbo baada ya tendo La ndoa
Si ajabu hata jinsia yako kuna wakati unaisahau,ndo maana unajichanganya
Duuh,We si ulisema umeolewa na kila ukimaliza kugegedwa au kulalwa na mme wako huwa unaumwa tumbo. Jikumbushe hapa
Tumbo langu linaniuma baada ya tendo la ndoa - JamiiForums
Me nlikuwa nahisi mnaanza kukaa chini na kupanga pamoja. Ila kiukweli financials ndio mpango mzimaHahaa, ndyo hivo kifinancial zaidi, vipi wewe best umewaza lipi hilo la zaidi?, ili nijifunzie kwako
[emoji3] [emoji3] , kabla ya kukaa chini inabidi ujue je pesa ipo , maana ndyo mtajadili vizuri na mkafikia muafaka( joke bana)[emoji3]Me nlikuwa nahisi mnaanza kukaa chini na kupanga pamoja. Ila kiukweli financials ndio mpango mzima
Ila sasa km nikiwa sina pesa, afu nisiangalie km mwanaume ana pesa au lah mwisho wa siku naenda kukutana na wimbo wa sina ela kila siku nan anataka hayo????Sorry My lady I need to talk to only interested ladies with my post... na si wale wenye mawazo yao yanaangalia pesa yangu