Daby nasubiri bandiko lako kwa hamu piaAll the best
Subiria tuzeeeke zeeke kwanza...ila uwe unawabania na mim naendelea kubana huku... then tukichoka naliweka kwa I'd hiihiiDaby nasubiri bandiko lako kwa hamu pia
Nitakuwa wa kwanza kuja PM. . .ila umri nitaomba uanzie 22 puliiz
HahahSubiria tuzeeeke zeeke kwanza...ila uwe unawabania na mim naendelea kubana huku... then tukichoka naliweka kwa I'd hiihii
Kama umri ulioandika ni wako....bado mapema japo ndoa ya ujana inafuraha yake (yenye upendo lkn)Hahah
Sawa mi naendelea kubana huku
Ila sasa tusizeeke sana alafu mi nitakuPM kwa ile ID yangu nyingine
Nakusubiri
Soon naufikishaKama umri ulioandika ni wako....bado mapema japo ndoa ya ujana inafuraha yake (yenye upendo lkn)
Sure,...Soon naufikisha
Alafu ndoa za ujana unaenjoy vitu vitu
[emoji28] [emoji28]Umenitamanisha ujue
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] amesahau kuwa "mchumba au mke hasomeshiwii............" ila msinukuu vibaya co maneno yangu, najua upande flan unaweza sema nauharibiaHapo kwenye kumuendeleza angalia usije kujikuta unatengeneza Bomu la machozi kwa mikono yako
Kweli jamaa kaanzia mbali aseee..........ila pole endelea kusubiri watakujaa tuu....wa 22-27
Kama hajajinyongaHapo kwenye kumuendeleza angalia usije kujikuta unatengeneza Bomu la machozi kwa mikono yako
Hyo size ameniachia